Rais Samia Mgeni Rasmi Maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Agosti 21, 2023

Mkataba hamkuandikiwa waislamu, wameandikiwa Serikali.
Watoe maoni kwenye mkataba sio matamko. Waseme sisi yeye kupewa ardhi bahari na anga sio issue. Kupewa bandari zote sio issue. Ukomo ambao haujaandikwa sio issue. Ingawa wangesema japo ukomo utawekwa kwenye hizo contract. Na kwa nini contract zinaendwa kufichwa kwa kubadili sheria. Je ni kweli huyu jamaa atapewa kila kitu at tuseme atadhibiti idadi ya mizani na wizi
 
Propaganda walizoeneza kkkt wametumia gharama kubwa mnooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…