Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Rais Samia Suluhu Hassan amewaambia watanzania kwa sasa wahisani hawaleti misaada nchini, wanataka biashara ili kugawana faida
Amesema kwa sababu hiyo ni lazima tujinyang'anye wenyewe ili kufadhili miradi ya nchi hii
Ameyasema hayo alipokuwa Tegeta akisalimia wananchi akiwa katika safari ya kuelekea Bagamoyo kutengeneza filamu ya kuitangaza Tanzania
======
RAIS SAMIA: MIKOPO INA RIBA KUBWA
Rais Samia Suluhu Hassan amesema mikopo ina riba kubwa na misaada imepungua, hivyo ni lazima wananchi kujichanga ili kujenga nchi
Amesema ni heri kuchukua mikopo kidogo kufadhili miradi mikubwa kama ya reli na umeme
Ameyasema hayo alipokuwa Zinga mkoani Pwani akielekea Bagamoyo
Amesema kwa sababu hiyo ni lazima tujinyang'anye wenyewe ili kufadhili miradi ya nchi hii
Ameyasema hayo alipokuwa Tegeta akisalimia wananchi akiwa katika safari ya kuelekea Bagamoyo kutengeneza filamu ya kuitangaza Tanzania
======
RAIS SAMIA: MIKOPO INA RIBA KUBWA
Rais Samia Suluhu Hassan amesema mikopo ina riba kubwa na misaada imepungua, hivyo ni lazima wananchi kujichanga ili kujenga nchi
Amesema ni heri kuchukua mikopo kidogo kufadhili miradi mikubwa kama ya reli na umeme
Ameyasema hayo alipokuwa Zinga mkoani Pwani akielekea Bagamoyo