Rais Samia: Mimi ni Mzanzibari

Your browser is not able to display this video.

Kwa kauli hii ya Rais SSH maswali mengi nimejiuliza na sijapata jibu. Msaada wenu wanaJF:

Nini kimetokea hadi hadharani kutamka hivyo?

Je, kauli ni kuashiria Ukabila, Udini au Uzanzibari ndani ya moyo wake?
 
naibu waziri wa Afya ni mollel na juzi aliongea na waandishi wa habari akiwa Arusha
Nimekupa jina inawezekana wizara Ina manaibu wawili , taarifa ya habari ya it wamemsema ulienda Google ukitafuta naibu waziri wa afya linakuja Hilo jina la mwanaidi unachobisha ni Nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…