Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Anaibua madudu na kauli chonganishi mwenyewe.Halafu ziki-backfire asijinunishe na kusema watu hawana adabu.CCM ipo juu ya sheria mzee
Karibu manka!Leo umelipwa posho upo vzr
Nani kakudanganya?
Ni mtu wa hovyo snAnaibua madudu na kauli chonganishi mwenyewe.Halafu ziki-backfire asijinunishe na kusema watu hawana adabu.
Vile viwanja ni vya umma ccm wamedhulumu tuCCM ina miradi kila kona vikiwemo viwanja vya michezo.
Lakini inapokea ruzuku pia kama Chadema!
Acha upuuziUlitaka walipwe nani?
Pole!Acha upuuzi
Mtumishi akisikia hayo maneno halafu kwa miaka sita anatembelea magoti anajisikiaje?Upo uhalali wa kujiita ni chama cha wanyonge wakati wanajipa kipaumbele wao kwanza?Matapeli!Ni mtu wa hovyo sn
Hawapo ajili ya wananchi hata kidogoMtumishi akisikia hayo maneno halafu kwa miaka sita anatembelea magoti anajisikiaje?Upo uhalali wa kujiita ni chama cha wanyonge wakati wanajipa kipaumbele wao kwanza?Matapeli!
Ccm ina vyanzo vingi sana vya mapto, pia michango ya wnanachama mwenyekiti hawezi kuzitafuna kama kule ufipa.CCM zaidi ya kulipiwa na Ikulu inapesa zinatoka wapi?
Ufipa Jero jero ya maji!Buku 7 imefika buku ngapi?
Wale ni makamanda WA twitter waende USA wakalipweSijajua kama vyama vingine mfano Chadema na ACT wazalendo wanalipa mishahara!
Ruzuku zenu mbowe anakula na mukya nyie kelele tuMfumo ovu wa CCM
Ufipa mtunza hazina lazima awe raia wa migombani st!Ccm ina vyanzo vingi sana vya mapto, pia michango ya wnanachama mwenyekiti hawezi kuzitafuna kama kule ufipa.
Mwaka juzi walikua na zaidi ya billion 30 cash bado asset.
HahahahaUfipa mtunza hazina lazima awe raia wa migombani st!