Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Rais Samia mpe Profesa kabudi Wizara ya Mambo ya Nje ana uwezo mkubwa sana wa kuwatikisa mabeberu
Usifikirie kuwa wazungu wanatipenda hapana sio kweli pamoja na kuifungua nchi tumeishia kuaibika kwa kukamatiwa ndege yeti
Rudisha utawala wa aina ya awamu ya 5 utanishukuru baadaye ondoa ushikaji na urafiki kazini usilee kikundi kidogo ukakiacha kikiangamiza mamilioni ya watu
Usifikirie kuwa wazungu wanatipenda hapana sio kweli pamoja na kuifungua nchi tumeishia kuaibika kwa kukamatiwa ndege yeti
Rudisha utawala wa aina ya awamu ya 5 utanishukuru baadaye ondoa ushikaji na urafiki kazini usilee kikundi kidogo ukakiacha kikiangamiza mamilioni ya watu