Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Rais Samia mpe Prof kabudi wizara ya mambo ya nje ana uwezo mkubwa Sana wa kuwatikisa mabeberu
usifikirie kuwa wazungu wanatipenda hapana sio kweli pamoja na kuifungua nchi tumeishia kuaibika kwa kukamatiwa ndege yeti
Rudisha utawala wa Aina ya awamu ya 5 utanishukuru baadaye ondoa ushikaji na urafiki kazn usilee kikundi kidogo ukakiacha kikiangamiza mamilioni ya watu
Stupidity reply [emoji706]Yule kichaa wenu aliwanyooshaje mabeberu? Aliishia kufa kama panya
Bado una ule ujinga wa magufuli hadi leo!Rais Samia mpe Profesa kabudi Wizara ya Mambo ya Nje ana uwezo mkubwa sana wa kuwatikisa mabeberu
Usifikirie kuwa wazungu wanatipenda hapana sio kweli pamoja na kuifungua nchi tumeishia kuaibika kwa kukamatiwa ndege yeti
Rudisha utawala wa aina ya awamu ya 5 utanishukuru baadaye ondoa ushikaji na urafiki kazini usilee kikundi kidogo ukakiacha kikiangamiza mamilioni ya watu
Hatatokea wa kushindana na mabeberu, never ever mpaka Africa tujikomboe toka kwa wakoloni. Wengine hawajui kua tumepewa uhuru but colonialism upo palepale. Achen danganya toto.. eti awanyooshe mabeberu πππ. Kama bara tulishafeli mwanzo kushindwa kuweka misingi imara ya kujitegemea!!Rais Samia mpe Profesa kabudi Wizara ya Mambo ya Nje ana uwezo mkubwa sana wa kuwatikisa mabeberu
Usifikirie kuwa wazungu wanatipenda hapana sio kweli pamoja na kuifungua nchi tumeishia kuaibika kwa kukamatiwa ndege yeti
Rudisha utawala wa aina ya awamu ya 5 utanishukuru baadaye ondoa ushikaji na urafiki kazini usilee kikundi kidogo ukakiacha kikiangamiza mamilioni ya watu
Una maana kwamba turudi kwenye zama za Giza au siyo. Huoni sasa hivi kila kitu kinaenda poa Sana. Wakulima Wana masoko ya uhakika, ajira kibao, wafanyakazi wameongezeka mishahara, biashara zinastawi Sana nkRais Samia mpe Profesa kabudi Wizara ya Mambo ya Nje ana uwezo mkubwa sana wa kuwatikisa mabeberu
Usifikirie kuwa wazungu wanatipenda hapana sio kweli pamoja na kuifungua nchi tumeishia kuaibika kwa kukamatiwa ndege yeti
Rudisha utawala wa aina ya awamu ya 5 utanishukuru baadaye ondoa ushikaji na urafiki kazini usilee kikundi kidogo ukakiacha kikiangamiza mamilioni ya watu
Uvurururu wake uko wapi! We angalia hata comments zilivyo optimistic na positively hoping.Yaani nchi kwa sasa imekuwa ya vururuvuruu! CCM chama imara inabidi iingilie kati na kuirudisha Serikali kwenye mstari.
Labda amuweke ila siyo kumpa.; akimpa sisi tunabaki nini?Rais Samia mpe Profesa kabudi Wizara ya Mambo ya Nje ana uwezo mkubwa sana wa kuwatikisa mabeberu
Pole sana ndugu. Kama bado unaamii kuwa Prof Kabudi ana uwezo. Nilitegemea uombe hiyo nafasi upewe wewe mwenyewe na siyo Kabudi. Kabudi alikwishhafeli completely kwa kuwa muabudu wa Magufuli na kujiita katoka JALALANI.Rais Samia mpe Profesa kabudi Wizara ya Mambo ya Nje ana uwezo mkubwa sana wa kuwatikisa mabeberu
Usifikirie kuwa wazungu wanatipenda hapana sio kweli pamoja na kuifungua nchi tumeishia kuaibika kwa kukamatiwa ndege yeti
Rudisha utawala wa aina ya awamu ya 5 utanishukuru baadaye ondoa ushikaji na urafiki kazini usilee kikundi kidogo ukakiacha kikiangamiza mamilioni ya watu
Rais Samia mpe Profesa kabudi Wizara ya Mambo ya Nje ana uwezo mkubwa sana wa kuwatikisa mabeberu
Usifikirie kuwa wazungu wanatipenda hapana sio kweli pamoja na kuifungua nchi tumeishia kuaibika kwa kukamatiwa ndege yeti
Rudisha utawala wa aina ya awamu ya 5 utanishukuru baadaye ondoa ushikaji na urafiki kazini usilee kikundi kidogo ukakiacha kikiangamiza mamilioni ya watu
Rais Samia mpe Profesa kabudi Wizara ya Mambo ya Nje ana uwezo mkubwa sana wa kuwatikisa mabeberu
Usifikirie kuwa wazungu wanatipenda hapana sio kweli pamoja na kuifungua nchi tumeishia kuaibika kwa kukamatiwa ndege yeti
Rudisha utawala wa aina ya awamu ya 5 utanishukuru baadaye ondoa ushikaji na urafiki kazini usilee kikundi kidogo ukakiacha kikiangamiza mamilioni ya watu
KABUDI HUYU HUYU wa KANYABOYA?Rais Samia mpe Profesa kabudi Wizara ya Mambo ya Nje ana uwezo mkubwa sana wa kuwatikisa mabeberu
Usifikirie kuwa wazungu wanatipenda hapana sio kweli pamoja na kuifungua nchi tumeishia kuaibika kwa kukamatiwa ndege yeti
Rudisha utawala wa aina ya awamu ya 5 utanishukuru baadaye ondoa ushikaji na urafiki kazini usilee kikundi kidogo ukakiacha kikiangamiza mamilioni ya watu