Mgalula MzTz
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 462
- 421
Uhuru upi uliokosa wewe?Sisi tunataka uhuru kwanza, maendeleo kila mtu atajiletea kwa muda wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhuru upi uliokosa wewe?Sisi tunataka uhuru kwanza, maendeleo kila mtu atajiletea kwa muda wake.
Kweli Yoda. Mwendazake alikuwa anasema nchi ya Tanzania ni tajiri Sana, halafu siku ya 2 unamuona Dotto James na Philip Mpango wakisaini mkopo wa matrillioni kutoka Benki za nje.Kusema wewe ni tajiri wakati ni maskini ni sawa na teja au mvuta bangi.
Hata wakutoa mawazo amaUhuru upi uliokosa wewe?
Uhuru upi uliokosa weHata ule wakutoa mawazo,ama kuhabarishwa ipasavyoUhuru upi uliokosa wewe?
Uchumi wenu wa Kenya ndio aliudisorganise
Haya madini yanafaida gani kama uhuru wetu ulipokonywa na watu wachache,Sukuma-Gang?Thamani ya madini inakuwa na maana kama uhuru watu unakuwepo.Ninyi mnakazana na maendeleo ya vitu badala ya watu.Maendeleo yenyewe ya vitu mli hodhi ninyi na baba yenu MwenyeKwenda Zake.Utu kwanza mengine yatafuata!Mwaka 2018 Gazeti la Kenya la The East African liliripoti Sana uzinduzi wa Ukuta wa Mererani. Na katika kuripoti kwao walisema kua India wanauza tanzanite worth 300 mil dollars per year followed by kenya 100 million dollars and Tanzania only 38 million dollars per year.
Kwa hiyo kama tukiweza kudhibiti kabisa utoroshaji wa madini yetu pale Mererani, Tanzania inaweza kuuza Tanzanite yenye thamani ya 438 million dollars
Tatizo kuna baadhi ya watu wanadhani kwa vile Magufuli amefariki basi mama Samia ndiyo amekuwa Magufuli "mpya" kitu ambacho hakipo kama ambavyo hakikuwepo kwa Mwinyi na Nyerere, kwa Mkapa na Mwinyi na hata kwa Kikwete na Mkapa. Kila zama na kitabu chake. Hata kama yawezekana misingi ikawa ileile lakini kutokana na tofauti ya 'personalities' utendaji wa A kufikia lengo hilohilo unaweza kuwa tofauti na ule wa B na wa C na hata na wa D.Tanzania sasa imeshapata marais 6 - Mwalimu Julius Nyerere, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete, John Magufuli na sasa Samia Suluhu Hassan. Mwinyi hatukusema tumpime kwa viwango vya Mwalimu, Mkapa hatukusema tumpime kwa viwango vya Mwinyi, Kikwete hatukusema tumpime kwa viwango vya Mkapa, Magufuli hatukusema tumpime kwa viwango vya Kikwete, je ni kwa nini unadhani Samia Suluhu Hassan ndiye inabidi tumpime kwa viwango vya mtangulizi wake?
Lini ulinyimwa huo uhuru wa kutoa mawazo?Hata wakutoa mawazo ama
Kwa kuwa ulikuwa usingizini au ulikuwa kwenye himaya ambayo kila kitu kwako kili kuwa burudani hukuweza kuona.Ulisha hata kusikia vilivyofungwa na yakatolewa maelekezo ya kuvifungua.Ama ni miongoni mwa mliokwamia awamu iliyopita.Lini ulinyimwa huo uhuru wa kutoa mawazo?
Kweli kabisa Mama hana hulka ya kuigizaYeye na meko ni kitu kimoja ila mama hatafika viwango vya meko
Kaka Babati, kwani hukuwa huru? Mbona mimi sikuona huo ukosefu wa uhuru? Au ulibebwa na maisha ya twitter yanaonesha Tanzania ni nchi nyingine na huku Uraiani ni nchi nyingine?Sisi tunataka uhuru kwanza, maendeleo kila mtu atajiletea kwa muda wake.
Hawezi kufika viwango vya meko