Rais Samia na Rais Mwinyi tunaomba mjenge barabara ya kuuunganisha Unguja na Bara

Rais Samia na Rais Mwinyi tunaomba mjenge barabara ya kuuunganisha Unguja na Bara

kkitabu

Senior Member
Joined
Dec 27, 2011
Posts
144
Reaction score
49
Ili kupunguza makali kwa wanzazibari Rais Samia kwa kushirikiana na Mwinyi jengeni bara ya lami kuunganisha Unguja na Bara.

Hii itasaidia maroli na vyakula kutoka bara kwenda kuingia kwa urahisi visiwani. Aidha ni ukweli usiopingika kwamba gharama ya vyakula ipo juu.

Na pia itapunguza kero za muungano kwani kutakuwa muingiliano wa watu kwa urahisi. Nakatibisha majadiliano ya jambo hili ni muhimu
 
Hapo watakuwa wamegusa maslahi ya muarabu mwenzao Bakhresa anayehodhi usafiri wa bara-zanzibar. Sidhani kama wanaweza kufanya hivyo
 
Hamna shida yeye ataelekeza boat zake Pemba
 
guys,, hilo daraja lithitaji matirillion 10,, hapana kwa sasa hadi tutengeze vyanzo vya fedha
 
Mtatuletea vichogo vyenu huku, nyie mnataka kuharibu tamaduni na Ustaarabu wa Visiwa vyetu...hatutaki Ukafiri wenu
 
Ili kupunguza makali kwa wanzazibari Rais Samia kwa kushirikiana na Mwinyi jengeni bara ya lami kuunganisha Unguja na Bara. Hii itasaidia maroli na vyakula kutoka bara kwenda kuingia kwa urahisi visiwani. Aidha ni ukweli usiopingika kwamba gharama ya vyakula ipo juu. Na pia itapunguza kero za muungano kwani kutakuwa muingiliano wa watu kwa urahisi. Nakatibisha majadiliano ya jambo hili ni muhimu
Zanzibar kina nini !.
 
Wazanzibar hii inawahusu sana michango yenu kwa wingi
 
Hakuna haja ya kupoteza fedha ktk hilo, maana muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar unakaribia kuvunjwa.
 
Serikali yetu hatimaye itafanyia kazi ushauri huu ili kuwaokoa watanzania wenzetu wanaoishi Zanzibar. Mama Samia oyee
 
Mnataka kumtia presha tu mzee wa watu Bakhresa
 
Serikali yetu hatimaye itafanyia kazi ushauri huu ili kuwaokoa watanzania wenzetu wanaoishi Zanzibar. Mama Samia oyee
Bado mtataka tena Daraja Tanga na Pemba and Mtataka Daraja Unguja na Pemba bila kusahau kwa wakojani
 
Back
Top Bottom