Wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya JKT ulituambia kuwa jeshi hilo ni muhimu katika kukuza vijana kuwa wazalendo na kuipenda nchi yao.
Kauli hiyo inatofautiana na kile kinachoendelea kambi ya JKT Makutupora maana kuna afande mmoja amefikia pabaya kwa tabia yake ya kudhalilisha watoto wa kike walio kwenye kambi hiyo.
Afande huyo amewadhalilisha vijana wengi wa kike kingono kiasi cha wengine kukimbia kambi hiyo.
Amekuwa akiwatisha na kuwafanyia vituko ambavyo vimewafanya vijana hao kukata tamaa na wengine kujiliuliza iwapo uzalendo uliozungumzia ni pamoja na kukubali kudhalilishwa kiasi hicho.
Afande huyo amewadhalilisha wasichana wengi wao ni watoto wa kimaskini ambao hawana watetezi maana hautuamini kama watoto wa vigogo wanafanyiwa visa kama hivyo.
Kikubwa zaidi ni hivi majuzi alipoanza kuonyesha tabia hiyo kwa vijana wa kiume na alipoulizwa na mmoja wao kuhusu tabia hiyo chafu alijibu kiurahisi tu kwamba kama wewe kwenu ni dhambi kwetu ni suna, hayo ni majibu ya afande anayetegemewa kuwafundisha watoto maadili mazuri na uzalendo kwa nchi yao
Sasa kama anafikia kuwatamani watoto wa kiume tena kipindi ambapo nchi inapambana na janga hili tunajiuliza maana ya JKT ni nini.
Cha ajabu malalamiko yalishapelekwa kwa RC wa Dodoma kwa maandishi na vijana husika waliambiwa barua itamfikia RC, kama imemfikia kaipuuza hatujui kama haijamfikia hatujui. Fuatilia waliokimbia Makutupora utapata taarifa za kusikitisha
Rais wewe ndiye Mama wa vijana wote walioko JKT ndiyo Amiri Jeshi Mkuu fuatilia hili, tayari zaidi ya vijana 10 wamekimbia jeshi kambi ya Makutupora Dodoma tena makao ya nchi.
Haya ni machache mengi utayasikia baada ya baadhi ya vijana waliotoroka Makutupora kutoa taarifa yao kama walivyopanga kukutana na waandishi wa habari wiki ijayo.
Kauli hiyo inatofautiana na kile kinachoendelea kambi ya JKT Makutupora maana kuna afande mmoja amefikia pabaya kwa tabia yake ya kudhalilisha watoto wa kike walio kwenye kambi hiyo.
Afande huyo amewadhalilisha vijana wengi wa kike kingono kiasi cha wengine kukimbia kambi hiyo.
Amekuwa akiwatisha na kuwafanyia vituko ambavyo vimewafanya vijana hao kukata tamaa na wengine kujiliuliza iwapo uzalendo uliozungumzia ni pamoja na kukubali kudhalilishwa kiasi hicho.
Afande huyo amewadhalilisha wasichana wengi wao ni watoto wa kimaskini ambao hawana watetezi maana hautuamini kama watoto wa vigogo wanafanyiwa visa kama hivyo.
Kikubwa zaidi ni hivi majuzi alipoanza kuonyesha tabia hiyo kwa vijana wa kiume na alipoulizwa na mmoja wao kuhusu tabia hiyo chafu alijibu kiurahisi tu kwamba kama wewe kwenu ni dhambi kwetu ni suna, hayo ni majibu ya afande anayetegemewa kuwafundisha watoto maadili mazuri na uzalendo kwa nchi yao
Sasa kama anafikia kuwatamani watoto wa kiume tena kipindi ambapo nchi inapambana na janga hili tunajiuliza maana ya JKT ni nini.
Cha ajabu malalamiko yalishapelekwa kwa RC wa Dodoma kwa maandishi na vijana husika waliambiwa barua itamfikia RC, kama imemfikia kaipuuza hatujui kama haijamfikia hatujui. Fuatilia waliokimbia Makutupora utapata taarifa za kusikitisha
Rais wewe ndiye Mama wa vijana wote walioko JKT ndiyo Amiri Jeshi Mkuu fuatilia hili, tayari zaidi ya vijana 10 wamekimbia jeshi kambi ya Makutupora Dodoma tena makao ya nchi.
Haya ni machache mengi utayasikia baada ya baadhi ya vijana waliotoroka Makutupora kutoa taarifa yao kama walivyopanga kukutana na waandishi wa habari wiki ijayo.