Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Naomba ku-declare interest.
Mimi binafsi nampenda na kumkubali Sana Mama Samia hivyo kwa nguvu na uwezo nilionao sitakubali hujuma yoyote kwake.
Nchi inaendeshwa kwa Kodi, hivyo kauli ya mama Samia kusema tutumie akili kukusanya hakumaanjsha tusilipe Kodi na badala yake mapato kupungua na kuonekana Kama ameshindwa.
Mama ni Mtu wa busara Sana, na hapa ndipo ninamkubali zaidi. Ila wafanyabiashara Sasa hivi wanatumia vibaya hizi busara zake.
Mfano mdogo na rahisi, Sasa hivi kariakoo ukinunua mzigo hupewi risiti, na ikitokea umepewa basi unaambiwa "chukua ya kutembelea na mzigo" hapo Kama mzigo ni wa milioni 2 basi unapewa risiti ya laki 2. Huu ni ukweli.
Mama najua huu mwezi wa 4 umeona mapato yalivyo na uhalisia ni kuwa Kuna watu ni Kama wamedhamiria kukukwamisha. Wafanyabiashara wote na Mimi nikiwemo tujitahidi kulipa Kodi na tutoe risiti mapato yapatikane mama yetu atuletee maendeleo.
Mimi binafsi nampenda na kumkubali Sana Mama Samia hivyo kwa nguvu na uwezo nilionao sitakubali hujuma yoyote kwake.
Nchi inaendeshwa kwa Kodi, hivyo kauli ya mama Samia kusema tutumie akili kukusanya hakumaanjsha tusilipe Kodi na badala yake mapato kupungua na kuonekana Kama ameshindwa.
Mama ni Mtu wa busara Sana, na hapa ndipo ninamkubali zaidi. Ila wafanyabiashara Sasa hivi wanatumia vibaya hizi busara zake.
Mfano mdogo na rahisi, Sasa hivi kariakoo ukinunua mzigo hupewi risiti, na ikitokea umepewa basi unaambiwa "chukua ya kutembelea na mzigo" hapo Kama mzigo ni wa milioni 2 basi unapewa risiti ya laki 2. Huu ni ukweli.
Mama najua huu mwezi wa 4 umeona mapato yalivyo na uhalisia ni kuwa Kuna watu ni Kama wamedhamiria kukukwamisha. Wafanyabiashara wote na Mimi nikiwemo tujitahidi kulipa Kodi na tutoe risiti mapato yapatikane mama yetu atuletee maendeleo.