Rais Samia nakupandisha Cheo

Rais Samia nakupandisha Cheo

Wimbo

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2012
Posts
866
Reaction score
625
Wasoma uzi huu najua wengine watadhani nimepata uchizi kwa sababu wazo la mtu asiye kitu halithaminiwi.

Mwanzo wa kupatikana kwake (Samia) na kufika nafasi alilipo mimi naiita ni miujia mitupu nathubutu kusema Mungu alimuandaa na akaitengeneza njia, amejitanabahisha katikanamna mbalimbali huku akihekimishwa na Mwenyezi Mungu katika kuchukuliana na kuweka mizania sawia kwa watu wote walionacho na wasionacho, bila kunyang'anya walinacho Kwani walikifanyia juhudi na maalifa kukipata wala bila kutweza wasionacho kwa sababu liziki anaitoa Muumba wa Mbingiu na ardhi na anatoa nafasi sawa za kuingia na kutoka kutii na kutekeleza maagizo yake yanayoambatana na baraka zake, anaye tii baraka zinaambatana naye.

Huyu ni Dada Samia Suluhu Hasani. vyeo vyote tuweke pembeni Urais, udaktari wa heshima, uwenyekiti wa chama mlezi wa vijana yoye ni yake, naomba na ninapendekeza kuazia sasa apewe heshima ya kuwa MAMA WA TAIFA nina hakika itachukuwa miongo mingi sana mpaka tuje pata Rais mwanamke mwingine tena.

Mwalimu Nyerere alikuwa na doctorate nyingi za heshima hakuona fahari ya kuitwa Dr ambayo siku hizi wengi wanaona ni deal sana. Nomba tutofautishe udakitari wa Msukuma na wa Samia tuondoe hiyo Dr. katika matumizi ya ainisho tumpe umama wa taifa.

Amefanya mengi ya mfano na anastahiki heshima hiyo.naomba kutoa hoja na kuungwa mkono.






ya mtu kujitoa pale alipo kwa nafasi yake na hamu yake ya kujikomboa.
 
Wasoma uzi huu najua wengine watadhani nimepata uchizi kwa sababu wazo la mtu asiye kitu halithaminiwi.

Mwanzo wa kupatikana kwake (Samia) na kufika nafasi alilipo mimi naiita ni miujia mitupu nathubutu kusema Mungu alimuandaa na akaitengeneza njia, amejitanabahisha katikanamna mbalimbali huku akihekimishwa na Mwenyezi Mungu katika kuchukuliana na kuweka mizania sawia kwa watu wote walionacho na wasionacho, bila kunyang'anya walinacho Kwani walikifanyia juhudi na maalifa kukipata wala bila kutweza wasionacho kwa sababu liziki anaitoa Muumba wa Mbingiu na ardhi na anatoa nafasi sawa za kuingia na kutoka kutii na kutekeleza maagizo yake yanayoambatana na baraka zake, anaye tii baraka zinaambatana naye.

Huyu ni Dada Samia Suluhu Hasani. vyeo vyote tuweke pembeni Urais, udaktari wa heshima, uwenyekiti wa chama mlezi wa vijana yoye ni yake, naomba na ninapendekeza kuazia sasa apewe heshima ya kuwa MAMA WA TAIFA nina hakika itachukuwa miongo mingi sana mpaka tuje pata Rais mwanamke mwingine tena.

Mwalimu Nyerere alikuwa na doctorate nyingi za heshima hakuona fahari ya kuitwa Dr ambayo siku hizi wengi wanaona ni deal sana. Nomba tutofautishe udakitari wa Msukuma na wa Samia tuondoe hiyo Dr. katika matumizi ya ainisho tumpe umama wa taifa.

Amefanya mengi ya mfano na anastahiki heshima hiyo.naomba kutoa hoja na kuungwa mkono.






ya mtu kujitoa pale alipo kwa nafasi yake na hamu yake ya kujikomboa.
Ni mtazamo wako, lakini Mimi naona hakuna kitu kipya alichofanya kuliko watangulizi wake, labda tumwangalie siku za mbele,. Anatekeleza ilani ya CCM ambayo 2020 aliinadi JPM na mirdi mingi anayo kamilisha kwasasa ni ile aliyoasisi mtangulizi wake na yy kama running mate. Hicho cheo ni kwa kitu Gani kipya?
 
Chawa wa mama🤣siku hizi mnatambulika hadi kwenye shughuli mbalimbali za kiserikali,imekuwa ajira mpya,,🤔 hongera mama wa taifa kwa kutoa ajira🏌️
 
Watu walikuwa wanauliza zamani,"Can a prophet come from Nazareth?" Na mi nauliza,mtu anayeitwa "Wimbo",can he be serious?
 
Atakayekataa mchawi

Mama anastahili zaidi ya hilo
Big up
Naunga mkono na mguu
inawezekana kweli kwamba watz wanagawanyika katika hili, na kwa bahati mbaya wanaomyima nafasi ni wanawake wenzake kwa tafiti ndogo niliyoifanya (isiyo rasmi), Mama amefanya kazi nzito ya kuikamilisha miradi mingi ya kimkakati iliyokuwa ni maono ya mtamgulizi wake,(kama vile ktk familia Baba akitangulia mbele za haki utajua true colours za mwanamke anaye baki) na alichukua nafasi hiyo unprepared na ameonyesha kwamba amevaa viatu vikatosha hata kama ni kwa kuweka pamba ili kiatu kisichomoke, kutuliza hali ya hewa ya madai ya katiba na kusikiliza madai ya wanae (maana mama lazima awasikilize wanae wote mkorofi na mtulifu awaweke sawa) vyema amefaulu, kuwapa tumaini watoto kwamba chakula kitaiva hata kama amechemsha mawe hilo ameliweza. anastahili kubeba hadhi ya juu kabisa ya kuwa Mama wa Taifa. nasisitiza itachukuwa miongo mingi tena bila kumpata Rais Mwanamke , take it from me.
 
Mzee hata utumie nguvu kiasi gani kusifia.

Watu wamemchoka huyo mama yako.

Na cheo cha mama wa taifa hakimkai mama wa Taifa ni MAMA MARIA NYERER AU WAKINA BIBI TITI, Walioanza na mapambano ya uhuru wa nchi hii siyo watu wa hovyohovyo kama yule naniiii
 
very serious, tusisahahu kwamba hakuna anayemchagua Mama wa kumzaa ndiyo maana Mungu akatuletea Mama huyu bila kumchagua (nina hakika angeingia kwenye kinyanganyilo asingetoboa) hatuna jeuri ya kumkataa ni MAMA. Samia, unajua wanao tunahitaji nini lishe na mpangilio wa Afya yetu unao wewee kesho yetu unaijua wewe, ukitaka tuwe machokola ni wewe ukitaka tuwe kizazi cha heshima ni wewe, ukitaka tuwe kizazi cha aibu ni wewe, ukitaka kuuza urithi wetu ni wewe, familia inatengenezwa na Mama, tunahitaji Mama tutakaye mkumbuka miaka yote ya maisha yetu suala ni TUKUKUMBUKEJE? NI WEWE TU MAMA.(mimi si chawa wako wala umri wangu hauhitaji ajira) . na ukichoka unajua ni mtoto yupi (maana umetuzaa) anayeweza kuendeleza maono ya kizazi hiki, don't be derived by any one. wewe ndo unajua uchungu wa labour.
Watu walikuwa wanauliza zamani,"Can a prophet come from Nazareth?" Na mi nauliza,mtu anayeitwa "Wimbo",can he be serious?
 
Back
Top Bottom