Rais Samia ni binadamu mwenye dalili zote za kutufikisha nchi ya ahadi. Mkimpuuza huyu itapita miaka 100 hajapatikana mwingine!

Rais Samia ni binadamu mwenye dalili zote za kutufikisha nchi ya ahadi. Mkimpuuza huyu itapita miaka 100 hajapatikana mwingine!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Katika vitabu vitakatifu Abraham au Ibrahim alipewa ahadi na mungu ya kumbariki uzao mkubwa kama mchanga wa baharini kwa sharti Moja tu .akubali kuondoka katika nchi ya baba zake ukaldayo aende kuishi kwenye nchi mpya kabisa ya kanaani.

Pamoja na ahadi nyingine kedekede kama atakuwa tajiri wa fedha na dhahabu na mungu alimuahidi pia kulikuza jina lake. Mpaka wanaondoka ukaldayo kwenda kanaani Sara mkewe Abraham hakuwa tasa. Maana mungu asingeahidi watoto na hali akijua Sara hawezi kuzaa!!

Kisanga ni pale Abraham alivyoingia kanaani akataka vitu vyote viwepo kwa siku Moja!? Alivyoona Kuna tatizo la maji TU aliamua kumkaidi mungu na kuhamia nchi nyingine iitwayo belsheba.

Hapo ndipo Mungu aliamua kufutilia mbali ahadi ya watoto na utajiri abraham alikaa miaka tisini bila mtoto mpaka Mungu mwenyewe alipoamua kumruzuku kwa bahati mtoto Mmoja TU.

Niseme hivi rais tuliyekuwa tunamtaka kwa muda wote ndo huyu Sasa. Samia Suluhu HassaniHaijaliShi Mimi sio CCM lakini nauona mwanga kupitia huyu mama. Tuache siasa za maji taka tumsaidie huyu mama kutupeleka nchi ya ahadi na kweli.
 
Andika vizuri kwanza ndio tucomment
 
Katika vitabu vitakatifu Abraham au Ibrahim alipewa ahadi na mungu ya kumbariki uzao mkubwa kama mchanga wa baharini !kwa sharti Moja tu .akubali kuondoka katika nchi ya baba zake ukaldayo ! Aende kuishi kwenye nchi mpya kabisa ya kanaani!! Pamoja na ahadi nyingine kedekede kama atakuwa tajiri wa fedha na dhahabu na mungu alimuahidi pia kulikuza jina lake !! Mpaka wanaondoka ukaldayo kwenda kanaani Sara mkewe Abraham hakuwa tasa !! Maana mungu asingeahidi watoto na hali akijua Sara hawezi kuzaa!! Kisanga ni pale Abraham alivyoingia kanaani akataka vitu vyote viwepo kwa siku Moja!? Alivyoona Kuna tatizo la maji TU aliamua kumkaidi mungu na kuhamia nchi nyingine iitwayo belsheba!! Hapo ndipo mungu aliamua kufutilia mbali ahadi ya watoto na utajiri .. abraham alikaa miaka tisini bila mtoto .. mpaka mungu mwenyewe alipoamua kumruzuku kwa bahati mtoto Mmoja TU! Niseme hivi rais tuliyekuwa tunamtaka kwa muda wote ndo huyu Sasa ! Samia suluhu hassani! HaijaliShi Mimi sio ccm lakini nauona mwanga kupitia huyu mama !! Tuache siasa za maji taka tumsaidie huyu mama kutupeleka nchi ya ahadi na kweli
Anaweza kuongeza miaka 5 then atakuja mwingine.

Nchi ina watu wengi wanaweza kuongoza. Problem ni kwamba tumeshindwa kuweka sera na sheria ambazo zitaheshimiwa na kila Rais anaye ingia madarakani. Hivyo tunategemea utashi wa mtu. Nchi haiongozwi kwa utashi...inaongozwa kwa sera na sheria.

Hivyo hata yeye akishindwa kusimika sera na sheria ambazo ni madhubuti na kila anaye ingia anatakiwa kuzifuata bado atakuwa hajatusaidia.
 
Katika vitabu vitakatifu Abraham au Ibrahim alipewa ahadi na mungu ya kumbariki uzao mkubwa kama mchanga wa baharini !kwa sharti Moja tu .akubali kuondoka katika nchi ya baba zake ukaldayo ! Aende kuishi kwenye nchi mpya kabisa ya kanaani!! Pamoja na ahadi nyingine kedekede kama atakuwa tajiri wa fedha na dhahabu na mungu alimuahidi pia kulikuza jina lake !! Mpaka wanaondoka ukaldayo kwenda kanaani Sara mkewe Abraham hakuwa tasa !! Maana mungu asingeahidi watoto na hali akijua Sara hawezi kuzaa!! Kisanga ni pale Abraham alivyoingia kanaani akataka vitu vyote viwepo kwa siku Moja!? Alivyoona Kuna tatizo la maji TU aliamua kumkaidi mungu na kuhamia nchi nyingine iitwayo belsheba!! Hapo ndipo mungu aliamua kufutilia mbali ahadi ya watoto na utajiri .. abraham alikaa miaka tisini bila mtoto .. mpaka mungu mwenyewe alipoamua kumruzuku kwa bahati mtoto Mmoja TU! Niseme hivi rais tuliyekuwa tunamtaka kwa muda wote ndo huyu Sasa ! Samia suluhu hassani! HaijaliShi Mimi sio ccm lakini nauona mwanga kupitia huyu mama !! Tuache siasa za maji taka tumsaidie huyu mama kutupeleka nchi ya ahadi na kweli
Ibrahimu alikuwa na watoto wawili, ismail na Isahaka, na Rais tuliyekuwa naye ni kizazi cha Ismaili, kwani ni wapole hawanage makuu
 
Back
Top Bottom