Rais Samia ni lulu ya amani, upendo na umoja wa kitaifa

Rais Samia ni lulu ya amani, upendo na umoja wa kitaifa

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ni Nuru, Faraja na Tumaini la ndoto za Watanzania wengi.

Ni kichocheo cha mshikamano na maelewano ya waTanzania bila kujali mirengo ya kisiasa, kanda atokayo, rangi, dini au kabila.

Ni kielelezo cha thamani cha Taifa, nembo, alama na nguzo ya amani na umoja wa kitaifa katika sura ya kimataifa Duniani.

Watanzania tuna Imani nawe, tunakupenda mno Mama, unakubalika sana katika kila kona ya nchi.

Mungu akupe afya njema, na maisha marefu, kama Taifa tuendelee kufurahia matunda ya mipango ya uongozi wako katika Serikali hii sikivu ya CCM, nchi na wananchi wote waendelee kustawi kijamii, kisiasa na kiuchumi.

God bless you Dr. Samia Suluhu Hassan.
 
Umesahau kuweka namba
tapatalk_1718655500343.jpeg
 
Ukweli upi we ng'ombe?
Dr.Samia Suluhu Hassan ni Lulu ya thamani ya Amani na Upendo nchini Tanzania 🐒

Anakubalika na waTanzania wengi kila kona ya nchi 🐒

hichi ndicho kinachokupa mihemko? Gentleman 🐒
 
"Mbishana na wengi ni MCHAWI"


Kweli nimeamini mkuu ww ni Mchawi.
Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuandamana nawe kwa mawazo maneno na matendo daima uwaze yaliyo mema...

Amini Mungu sio ushirikina, uchawi na uganga 🐒

Ifikie mahali tukubali tu ukweli kwamba Dr Samia Suluhu Hassan ni Lulu ya thamani ya Amani na Upendo wa Tanzania 🐒
 
Mimi simkubali . Namkataa .
hiyo ni haki na uhuru wa maoni na Demokrasia, usiharibu itumie vizur kumpa nguvu unamkubali. Kwan kuna ubaya gani 🐒
 
Ni Nuru, Faraja na Tumaini la ndoto za Watanzania wengi.

Ni kichocheo cha mshikamano na maelewano ya waTanzania bila kujali mirengo ya kisiasa, kanda atokayo, rangi, dini au kabila.

Ni kielelezo cha thamani cha Taifa, nembo, alama na nguzo ya amani na umoja wa kitaifa katika sura ya kimataifa Duniani.

Watanzania tuna Imani nawe, tunakupenda mno Mama, unakubalika sana katika kila kona ya nchi.

Mungu akupe afya njema, na maisha marefu, kama Taifa tuendelee kufurahia matunda ya mipango ya uongozi wako katika Serikali hii sikivu ya CCM, nchi na wananchi wote waendelee kustawi kijamii, kisiasa na kiuchumi.

God bless you Dr. Samia Suluhu Hassan.
Kakojoe ulale kuku wewe.
 
Ni Nuru, Faraja na Tumaini la ndoto za Watanzania wengi.

Ni kichocheo cha mshikamano na maelewano ya waTanzania bila kujali mirengo ya kisiasa, kanda atokayo, rangi, dini au kabila.

Ni kielelezo cha thamani cha Taifa, nembo, alama na nguzo ya amani na umoja wa kitaifa katika sura ya kimataifa Duniani.

Watanzania tuna Imani nawe, tunakupenda mno Mama, unakubalika sana katika kila kona ya nchi.

Mungu akupe afya njema, na maisha marefu, kama Taifa tuendelee kufurahia matunda ya mipango ya uongozi wako katika Serikali hii sikivu ya CCM, nchi na wananchi wote waendelee kustawi kijamii, kisiasa na kiuchumi.

God bless you Dr. Samia Suluhu Hassan.
Wajinga mpo wengi lakini taratibu mtakwisha tu.nimejiridhisha kwamba hakuna mtu mwenye akili iliyokamilika anaweza kuandika hivi ni hasara kwa nchi kuwa na jitu kama wewe.kufa
 
Wajinga mpo wengi lakini taratibu mtakwisha tu.nimejiridhisha kwamba hakuna mtu mwenye akili iliyokamilika anaweza kuandika hivi ni hasara kwa nchi kuwa na jitu kama wewe.kufa
mihemko na ghadhabu umehamishia kwenye ukweli huu mwingine sio 🤣

relax bas ikiwa umefikia ukomo wa fikra mbadala, huna haja ya kuleta dhihaka na huna mawazo mbadala, si upumzike tu gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom