Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kupata VICHEKESHO kama Uzi huu ,bonyeza *130*998# 😅😅😅Ni Nuru, Faraja na Tumaini la ndoto za Watanzania wengi.
Ni kichocheo cha mshikamano na maelewano ya waTanzania bila kujali mirengo ya kisiasa, kanda atokayo, rangi, dini au kabila.
Ni kielelezo cha thamani cha Taifa, nembo, alama na nguzo ya amani na umoja wa kitaifa katika sura ya kimataifa Duniani.
Watanzania tuna Imani nawe, tunakupenda mno Mama, unakubalika sana katika kila kona ya nchi.
Mungu akupe afya njema, na maisha marefu, kama Taifa tuendelee kufurahia matunda ya mipango ya uongozi wako katika Serikali hii sikivu ya CCM, nchi na wananchi wote waendelee kustawi kijamii, kisiasa na kiuchumi.
God bless you Dr. Samia Suluhu Hassan.
CHAWA KAZININi Nuru, Faraja na Tumaini la ndoto za Watanzania wengi.
Ni kichocheo cha mshikamano na maelewano ya waTanzania bila kujali mirengo ya kisiasa, kanda atokayo, rangi, dini au kabila.
Ni kielelezo cha thamani cha Taifa, nembo, alama na nguzo ya amani na umoja wa kitaifa katika sura ya kimataifa Duniani.
Watanzania tuna Imani nawe, tunakupenda mno Mama, unakubalika sana katika kila kona ya nchi.
Mungu akupe afya njema, na maisha marefu, kama Taifa tuendelee kufurahia matunda ya mipango ya uongozi wako katika Serikali hii sikivu ya CCM, nchi na wananchi wote waendelee kustawi kijamii, kisiasa na kiuchumi.
God bless you Dr. Samia Suluhu Hassan.
Hakuna furaha tafsiri ya hiyo emoji ni dharau nadharau UHARO ambao umekuwa ukipost mara kwa maraunailazimisha Furaha ingawa moyoni una majonzi kukutana na ukweli bayana mwingine 🐒
utakua una maumivu moyoni makali sana, maana kuacha hoja muhimu ya ukweli kama hii na kulalamikia emoji ni kielelezo cha ukali wa namna ambayo ukweli huumiza moyo wako kwa uchungu hivyo, dah , pole gentleman 🐒Hakuna furaha tafsiri ya hiyo emoji ni dharau nadharau UHARO ambao umekuwa ukipost mara kwa mara
Ndiyo,
Lulu ya thamani ya Amani na Upendo 🐒
Wewe ulikuwa chawa wa JiweChawa la chura kiziwi
vipi best??
Jana nimechat nae humu PMGod bless you Dr. Samia Suluhu Hassan.
Ila nimezingua kichwa changu nakijua mwenyewe hikihongera sana 🐒
Sifa za kijingaNi Nuru, Faraja na Tumaini la ndoto za Watanzania wengi.
Ni kichocheo cha mshikamano na maelewano ya waTanzania bila kujali mirengo ya kisiasa, kanda atokayo, rangi, dini au kabila.
Ni kielelezo cha thamani cha Taifa, nembo, alama na nguzo ya amani na umoja wa kitaifa katika sura ya kimataifa Duniani.
Watanzania tuna Imani nawe, tunakupenda mno Mama, unakubalika sana katika kila kona ya nchi.
Mungu akupe afya njema, na maisha marefu, kama Taifa tuendelee kufurahia matunda ya mipango ya uongozi wako katika Serikali hii sikivu ya CCM, nchi na wananchi wote waendelee kustawi kijamii, kisiasa na kiuchumi.
God bless you Dr. Samia Suluhu Hassan.
Kwema ,ulipotea mda nilikumis kweli😊vipi best??