Rais Samia nia yako ni njema lakini hao unaowaongoza akili zao wanazijua wenyewe

Rais Samia nia yako ni njema lakini hao unaowaongoza akili zao wanazijua wenyewe

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Nimekua napitia nyuzi za Watanzania tangu ujio wa Mama Samia jana hapa nchini Kenya, hamna hata uzi mmoja unaojadili au kudadavua huu ujio kitaalam, kwa minajili ya kuelewa dhamira ya mama kwenye jitihada zake za kuifanya Tanzania iamke tena. Kila Mtanzania analalamika tu, watu wameingiwa na uwoga wa ajabu, yaani yanayojadiliwa yangekua yanaandikwa na wazee wale wa kitambo enzi za ujamaa ningeelewa, ila hawa ni vijana wa kisasa waliosomea UDOM na UDSM elimu ya kisasa ambao nlitegemea watakua wameboreshwa kimtazamo kwenye masuala ya dunia ya leo hii ya utandawazi.

Mama amesema Watanzania watakuja kuwekeza kwa nguvu hapa Kenya....hehehe yaani hawa hawa Watanzania hawa au wengine wataletwa..... hebu soma nyuzi kama hizi.

 
Waelewe tu hawa majirani. Tangia yule mwendazake, mzee wa mikwara, ashike hatamu akili zao zilivurugwa sio mchezo. Itachukua muda na kazi ngumu kutoka kwa wataalamu. Kama mafundi seremala, tena wakisaidiwa na vifaa vyao maalum, hadi akili zao zirudi 'level'. [emoji41]
 
Waelewe tu hawa majirani. Tangia yule mwendazake, mzee wa mikwara, ashike hatamu akili zao zimevurugwa sio mchezo. Itachukua muda na kazi ngumu kutoka kwa wataalamu. Kama mafundi seremala, tena wakisaidiwa na vifaa vyao maalum, hadi akili zao zirudi 'level'. [emoji41]
Ukiona Ibilisi anakusifia na kukutaka uendane naye kimtazamo ujue there is a very very very serious problem...
 
Ukiona Ibilisi anakusifia na kukutaka uendane naye kimtazamo ujue there is a very very very serious problem...
Mama anataka muamke na kushindana, muache kuwa waoga waoga na wazembe wa kutupwa, muache kulialia.
Kwanza viwanda vyetu vitaunga kwenye gesi yenu hiyo moja kwa moja, hadi raha, ndio tutazalisha yaani tu basi.
 
Nilimsikiliza mmoja wa wasaidizi wa Rais SSH akiongea katika video moja fupi iliyotembea mtandaoni kama wiki mbili zilizopita, anaongelea juu ya kipaumbele kuweka katika viwanda vya kuongezea ubora mazao yetu.

Kenya kuna soko la bidhaa zetu za kilimo. Siku zote ukishakuwa na soko la uhakika la bidhaa ukiwa za kuipandisha thamani maana yake unaendelea kuwa na uhakika wa mteja huyo kuwa ni wa kwako.

Ziara ya Rais wetu kwa watu makini na wenye kutazama fursa muhimu za kiuchumi, ni ya maana sana.

Majirani wametuzidi kibiashara lakini haina maana kwamba tusiendelee kuongeza thamani ya ubora wa bidhaa zetu zenye uhakika wa soko kwao.

Kuliko kuongozwa na mitazamo ya uoga ni bora kujiweka kiushindani kwa kutumia mazingira yote chanya.
 
Mama anataka muamke na kushindana, muache kuwa waoga waoga na wazembe wa kutupwa, muache kulialia.
Kwanza viwanda vyetu vitaunga kwenye gesi yenu hiyo moja kwa moja, hadi raha, ndio tutazalisha yaani tu basi.
Mzee wewe tulia. Badala ya kuwauzia mahindi, tutaanza kuwauzia Ugali na Makande.

Tunajenga viwanda vya kupika ugali na makande.
JIANDAENI KULA UGALI UMEANDIKWA MADE IN TANZANIA
 
Nilimsikiliza mmoja wa wasaidizi wa Rais SSH akiongea katika video moja fupi iliyotembea mtandaoni kama wiki mbili zilizopita, anaongelea juu ya kipaumbele kuweka katika viwanda vya kuongezea ubora mazao yetu.

Kenya kuna soko la bidhaa zetu za kilimo. Siku zote ukishakuwa na soko la uhakika la bidhaa ukiwa za kuipandisha thamani maana yake unaendelea kuwa na uhakika wa mteja huyo kuwa ni wa kwako.

Ziara ya Rais wetu kwa watu makini na wenye kutazama fursa muhimu za kiuchumi, ni ya maana sana.

Majirani wametuzidi kibiashara lakini haina maana kwamba tusiendelee kuongeza thamani ya ubora wa bidhaa zetu zenye uhakika wa soko kwao.

Kuliko kuongozwa na mitazamo ya uoga ni bora kujiweka kiushindani kwa kutumia mazingira yote chanya.

Nimependa sana andiko lako hili, nina uhakika mkifunguka na kuwa tayari hata Wakenya wenyewe watakuja na kuingia ubia kwenye viwanda vyenu ili kuja kuuza bidhaa zenyewe huku. Kwanza hiyo itakua rahisi sana, maana Mkenya mwenyewe ana ufahamu wa ndani wa masoko yetu, hivyo mkiingia ubia naye huko, atajua namna ya kushusha bidhaa huku na nyote mnufaike.

Hamna lisilowezekana au kuzungumzika.
 
Nimekua napitia nyuzi za Watanzania tangu ujio wa Mama Samia jana hapa nchini Kenya, hamna hata uzi mmoja unaojadili au kudadavua huu ujio kitaalam, kwa minajili ya kuelewa dhamira ya mama kwenye jitihada zake za kuifanya Tanzania iamke tena. Kila Mtanzania analalamika tu, watu wameingiwa na uwoga wa ajabu, yaani yanayojadiliwa yangekua yanaandikwa na wazee wale wa kitambo enzi za ujamaa ningeelewa, ila hawa ni vijana wa kisasa waliosomea UDOM na UDSM elimu ya kisasa ambao nlitegemea watakua wameboreshwa kimtazamo kwenye masuala ya dunia ya leo hii ya utandawazi.

Mama amesema Watanzania watakuja kuwekeza kwa nguvu hapa Kenya....hehehe yaani hawa hawa Watanzania hawa au wengine wataletwa..... hebu soma nyuzi kama hizi.



Wewe kweli ni Mkenya??---- mbona Kiswahili chako kimenyooka!!🤣🤣
 
Waelewe tu hawa majirani. Tangia yule mwendazake, mzee wa mikwara, ashike hatamu akili zao zimevurugwa sio mchezo. Itachukua muda na kazi ngumu kutoka kwa wataalamu. Kama mafundi seremala, tena wakisaidiwa na vifaa vyao maalum, hadi akili zao zirudi 'level'.
emoji41.png
Ukiona Ibilisi anakusifia na kukutaka uendane naye kimtazamo ujue there is a very very very serious problem...
Mama anataka muamke na kushindana, muache kuwa waoga waoga na wazembe wa kutupwa, muache kulialia.
Kwanza viwanda vyetu vitaunga kwenye gesi yenu hiyo moja kwa moja, hadi raha, ndio tutazalisha yaani tu basi.
Sawa...narudia ukiona ibilisi anafurahi Basi lipo tatizo..tutalazimika kujipanga upya kuona Kama Kuna maslahi au tumeingia mkenge
 
Desturi ya kutokuwa waaminifu ndiyo ambayo inawafanya kenya isiaminike kwa majirani zake wote. Hilo pia linaanzia ndani. Mtu mnaunda serikali moja, yaani rais na makamu wake, wanarushiana vijembe, tena hadharani. Sasa sijui ile dhana ya uwajibikaji wa pamoja kenya inatumika wapi? Pia kama mlishirikiana kunadi ilani ya uchaguzi, kwa nini mpishane kipindi cha utekelezaji?

Kila nchi ina changamoto, lakini kenya mjichunguze jinsi mnavyoshirikiana na wengine. Ni ukweli usiofichika kwamba kenya ni nchi ambayo imejengwa kwenye misingi ya uongo uongo tu. Akitamka mtu neno, huwezi kulichukua kama lilivyo, lazima utataka kuliwekea walakini.
 
Sijawahi kuwaamini wakenya hata siku moja, vijamaa vijanja janja sana halafu full uzalendo usitegemee ukafungue biashara kenya halafu mkenya aache biashara za mkenya mwenzie akuungishe mtz! nehi
 
Sijawahi kuwaamini wakenya hata siku moja, vijamaa vijanja janja sana halafu full uzalendo usitegemee ukafungue biashara kenya halafu mkenya aache biashara za mkenya mwenzie akuungishe mtz! nehi

Hapo ndio mnafeli, kushirikisha ujinga wa undugu na upumbavu wa kuaminiana kwenye biashara, unapaswa ufahamu uhusiano wa kibiashara ni mwendo wa kununiana na kupitia matakwimu herufi kwa herufi, baada ya mahesabu kukaa sawa ndio tukenue meno na kuitana ndugu.
Hizo pumba zimesababisha nchi mumeliwa miaka yote licha ya kuwa na kila aina ya raslimali, mumeishia kuwa maskini wa kutupwa, kila anayekuja akiwaita ndugu mnaachia, wote Wachina na Wahindi na hata Wasauthi kwa Mandela wanachuma tu kisa ujinga wa kuitana ndugu.

Halafu nyie wenyewe kwa wenyewe mna huo upumbavu wa kupenda kuaminiana na kuitana ndugu kwenye biashara na mlivy wezi hata juzi spika wenu aliwasema sana, wawekezaji huishia kuwakimbia kwa wizi wenu, hebu pitia huu uzi hapa https://www.jamiiforums.com/threads...ra-anaifilisi-kwa-wizi.1860455/#post-38740796
 
Nimekua napitia nyuzi za Watanzania tangu ujio wa Mama Samia jana hapa nchini Kenya, hamna hata uzi mmoja unaojadili au kudadavua huu ujio kitaalam, kwa minajili ya kuelewa dhamira ya mama kwenye jitihada zake za kuifanya Tanzania iamke tena. Kila Mtanzania analalamika tu, watu wameingiwa na uwoga wa ajabu, yaani yanayojadiliwa yangekua yanaandikwa na wazee wale wa kitambo enzi za ujamaa ningeelewa, ila hawa ni vijana wa kisasa waliosomea UDOM na UDSM elimu ya kisasa ambao nlitegemea watakua wameboreshwa kimtazamo kwenye masuala ya dunia ya leo hii ya utandawazi.

Mama amesema Watanzania watakuja kuwekeza kwa nguvu hapa Kenya....hehehe yaani hawa hawa Watanzania hawa au wengine wataletwa..... hebu soma nyuzi kama hizi.

Could you imagine a CEO of subawanga meat products writing a wiped up thesis on a head of state visit?? Really???
 
Nimekua napitia nyuzi za Watanzania tangu ujio wa Mama Samia jana hapa nchini Kenya, hamna hata uzi mmoja unaojadili au kudadavua huu ujio kitaalam, kwa minajili ya kuelewa dhamira ya mama kwenye jitihada zake za kuifanya Tanzania iamke tena. Kila Mtanzania analalamika tu, watu wameingiwa na uwoga wa ajabu, yaani yanayojadiliwa yangekua yanaandikwa na wazee wale wa kitambo enzi za ujamaa ningeelewa, ila hawa ni vijana wa kisasa waliosomea UDOM na UDSM elimu ya kisasa ambao nlitegemea watakua wameboreshwa kimtazamo kwenye masuala ya dunia ya leo hii ya utandawazi.

Mama amesema Watanzania watakuja kuwekeza kwa nguvu hapa Kenya....hehehe yaani hawa hawa Watanzania hawa au wengine wataletwa..... hebu soma nyuzi kama hizi.

Chama Cha Mazezeta
 
Nimekua napitia nyuzi za Watanzania tangu ujio wa Mama Samia jana hapa nchini Kenya, hamna hata uzi mmoja unaojadili au kudadavua huu ujio kitaalam, kwa minajili ya kuelewa dhamira ya mama kwenye jitihada zake za kuifanya Tanzania iamke tena. Kila Mtanzania analalamika tu, watu wameingiwa na uwoga wa ajabu, yaani yanayojadiliwa yangekua yanaandikwa na wazee wale wa kitambo enzi za ujamaa ningeelewa, ila hawa ni vijana wa kisasa waliosomea UDOM na UDSM elimu ya kisasa ambao nlitegemea watakua wameboreshwa kimtazamo kwenye masuala ya dunia ya leo hii ya utandawazi.

Mama amesema Watanzania watakuja kuwekeza kwa nguvu hapa Kenya....hehehe yaani hawa hawa Watanzania hawa au wengine wataletwa..... hebu soma nyuzi kama hizi.


0c6ec23ac00c51fb8894c45fd6e7501f.png

Hii ni kampuni ya mtanzania inayofanya vizuri Kenya kwenye sekta ya usafirishaji wa abiria.
Nimekua napitia nyuzi za Watanzania tangu ujio wa Mama Samia jana hapa nchini Kenya, hamna hata uzi mmoja unaojadili au kudadavua huu ujio kitaalam, kwa minajili ya kuelewa dhamira ya mama kwenye jitihada zake za kuifanya Tanzania iamke tena. Kila Mtanzania analalamika tu, watu wameingiwa na uwoga wa ajabu, yaani yanayojadiliwa yangekua yanaandikwa na wazee wale wa kitambo enzi za ujamaa ningeelewa, ila hawa ni vijana wa kisasa waliosomea UDOM na UDSM elimu ya kisasa ambao nlitegemea watakua wameboreshwa kimtazamo kwenye masuala ya dunia ya leo hii ya utandawazi.

Mama amesema Watanzania watakuja kuwekeza kwa nguvu hapa Kenya....hehehe yaani hawa hawa Watanzania hawa au wengine wataletwa..... hebu soma nyuzi kama hizi.


308473f90c8ce3b857047575f1d5a3cb.png

Hii pia ni kampuni ya mtanzania inayofanya vizuri Kenya kwenye sekta ya usafirishaji wa abiria.
 
Back
Top Bottom