My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,306
Nilikuandikia uzi humu kukutahadharisha jinsi walivyojiandaa kukuhujumu Urais wako.
Sisi tunakujua fika jinsi ulivyo, wewe ni mama usiye na makuu,una huruma, una utu ,ndo maana kuna kipindi ulianza kutofautiana na JPM enzi za uhai wake kwa sababu ya utu wako.
Uliapa kufanya maridhiano na wapinzani ili kutengeneza hatima nzuri ya Tanzania, kilichotokea ni sukuma gang kuibuka ghafla na kukushauri kwamba usicheke na Chadema utavuna mabua, walikushauri uhakikishe wapinzani hasa CHADEMA wanatoweka kabisa kwenye ulingo wa siasa.
Huyo kijana aliyeoa Binti yako, Mkwilima wako huyo aliyeko Bungeni ni hatari sana kwenye uongozi wako, wewe unadhani wanakupenda kumbe wanaangalia maslahi yao na siyo ya Taifa.
Denmark wanavunja Diplomatic ties na Tanzania kwa sababu yako wewe, na ukae ukijua siyo Denmark tu, taarifa tulizonazo na za uhakika ni kwamba, Norway, Sweden, na Netherlands watafuata.
Baada ya hapo, Marekani wanailia timing Tanzania waichape vikwazo.
China ni Taifa katili na tapeli hapa Duniani, mataifa yote yaliyodhani China ni msaada kwao leo yanalia.
Rais Samia, kama unadhani CCM ndo Tanzania endelea kuwasikiliza hao uone kitakachotokea.
Sisi tunakujua fika jinsi ulivyo, wewe ni mama usiye na makuu,una huruma, una utu ,ndo maana kuna kipindi ulianza kutofautiana na JPM enzi za uhai wake kwa sababu ya utu wako.
Uliapa kufanya maridhiano na wapinzani ili kutengeneza hatima nzuri ya Tanzania, kilichotokea ni sukuma gang kuibuka ghafla na kukushauri kwamba usicheke na Chadema utavuna mabua, walikushauri uhakikishe wapinzani hasa CHADEMA wanatoweka kabisa kwenye ulingo wa siasa.
Huyo kijana aliyeoa Binti yako, Mkwilima wako huyo aliyeko Bungeni ni hatari sana kwenye uongozi wako, wewe unadhani wanakupenda kumbe wanaangalia maslahi yao na siyo ya Taifa.
Denmark wanavunja Diplomatic ties na Tanzania kwa sababu yako wewe, na ukae ukijua siyo Denmark tu, taarifa tulizonazo na za uhakika ni kwamba, Norway, Sweden, na Netherlands watafuata.
Baada ya hapo, Marekani wanailia timing Tanzania waichape vikwazo.
China ni Taifa katili na tapeli hapa Duniani, mataifa yote yaliyodhani China ni msaada kwao leo yanalia.
Rais Samia, kama unadhani CCM ndo Tanzania endelea kuwasikiliza hao uone kitakachotokea.