Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,455
- 1,621
Jambo lolote linaloandikwa mtandaoni,kama linamhusu raisi huwa anafikishiwa moja kwa moja,kuna watu wanafanya kazi hiyo,raisi siyo mfalme au malkia.Tatizo ni kutonielewa... swali langu ni hili: Ana uhakika kama Rais aliusoma huo ushauri wake hapa JF ili aufanyie kazi? KAma hakuusoma, anamlaumuje?
Mimempa njia sahihi ya kumfikishia Rais ushauri wake.... sio kuandika vithread JF ukifikiria Rais ana muda wa kusoma threads zote hapa JF
Bado haujaelewa?
Kufunga ubalozi uliodumu zaidi ya 50yrs sio kitu kidogo. Lakini pia wanapofunga ubalozi Kuna mengi mnakosa Kama nchi na ni ishara ya kudorora kwa mahusiano yaliyodumu kwa miaka zaidi ya 50Kufungu ubalozi siyo kuvunja diplomatic ties na nchi. Kuna nchi nyingi zina diplomatic ties na Tanzania bila kuwa na ofisi za ubalozi Tanzania
Sawa, Denmark haitakuwa na ubalozi kwetu baada ya 2024. Then so what? Uwepo wa nchi yetu hauna ubia na nchi nyingine yoyote. Asilimia 99.9999% ya watanzania hatujawahi hata kukutana na mdanish hata mmoja na wala kula au kupumua kwetu hakutegemei mdanish, msweden wala mnorway. Kama wametusaidia huko nyuma au wanaendelea kutusaidia kwa namna moja au nyingine, sisi tunawashukuru tu na tutaendelea kuwashukuru. Lakini kama walitegemea vingine zaidi ya sisi kuwashukuru na kuthamini msaada wao na tumeshindwa kuwatimizia basi sasa sisi tufanyeje!Mkuu usipende kudharau watu usiowajua, Rais angejua Denmark itavunja uhusiano angefanya jambo kuzuia, hakujua na kuna mengi hayajui,Rais Samuel Doe wa Liberia hakujua kuwa siku aliyokuwa anaenda kuonana na Prince Johnson angetekwa kisha kuteswa kikatili hadi kuuawa.
Rais siyo Mungu eti ajue kila jambo, Dunia ni watu na watu ndo sisi.
Narudia tena, usipende kudharau watu usiowajua.
Zimbabwe na Zambia kwa Sasa wanaisoma namba.mchina hawezi kusaidia nchi yoyote.Kama anadhani China ina msaada, akawaulize Zimbabwe.
Mbowe ni gaidi,kanasa,uwe mpoleNilikuandikia uzi humu kukutahadharisha jinsi walivyojiandaa kukuhujumu Urais wako.
Sisi tunakujua fika jinsi ulivyo, wewe ni mama usiye na makuu,una huruma, una utu ,ndo maana kuna kipindi ulianza kutofautiana na JPM enzi za uhai wake kwa sababu ya utu wako.
Uliapa kufanya maridhiano na wapinzani ili kutengeneza hatima nzuri ya Tanzania, kilichotokea ni sukuma gang kuibuka ghafla na kukushauri kwamba usicheke na Chadema utavuna mabua, walikushauri uhakikishe wapinzani hasa CHADEMA wanatoweka kabisa kwenye ulingo wa siasa.
Huyo kijana aliyeoa Binti yako, Mkwilima wako huyo aliyeko Bungeni ni hatari sana kwenye uongozi wako, wewe unadhani wanakupenda kumbe wanaangalia maslahi yao na siyo ya Taifa.
Denmark wanavunja Diplomatic ties na Tanzania kwa sababu yako wewe, na ukae ukijua siyo Denmark tu, taarifa tulizonazo na za uhakika ni kwamba, Norway, Sweden, na Netherlands watafuata.
Baada ya hapo, Marekani wanailia timing Tanzania waichape vikwazo.
China ni Taifa katili na tapeli hapa Duniani, mataifa yote yaliyodhani China ni msaada kwao leo yanalia.
Rais Samia, kama unadhani CCM ndo Tanzania endelea kuwasikiliza hao uone kitakachotokea.
Aisee....Jambo lolote linaloandikwa mtandaoni,kama linamhusu raisi huwa anafikishiwa moja kwa moja,kuna watu wanafanya kazi hiyo,raisi siyo mfalme au malkia.
Kwani Denmark wanafunga ubalozi Tanzania pekee ??Wamemtuma Denmark Kama chambo,halafu watafuata wote, Tanzania itakuwa Kama Zimbabwe au zaidi, watch out
Jambo lolote likifika JF hufanyiwa kazi.hata sakata la sabaya lilipofika huku nikajua kazi kwisha.Humu wanaingia sana tu tena kuna askari maalum wapo 24hrs.
Kuna siku niliandika uzi saa 9 jioni kumtuhumu kigogo mmoja alitumbuliwa siku ileile saa 12 jioni na wakapiga simu izi ufutwe
Rais akosei😂😂😂😂Watawala wa kiafrica huwa wanajua KILA kitu
Watawala wa kiafrica huwa wanajua KILA kitu