Rais Samia: Nimetoa mikeka mingi ya mabadiliko, natafuta watakaosimama na Serikali

Rais Samia: Nimetoa mikeka mingi ya mabadiliko, natafuta watakaosimama na Serikali

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Rais Samia akifungua Mkutano Mkuu wa 39 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) wa 39 Ukumbi wa Jakaya Kikwete -Dodoma Machi 11, 2025.


View: https://www.youtube.com/live/InZNLiUNiCU?si=g75Xu8EoJy6IoBRc


Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema katika kutafuta ufanisi wa utendaji kazi serikalini ilimpasa kufanya mabadiliko ya nafasi mbalimbali za uongozi ili kupata viongozi ambao watakwenda sambamba na kasi ya utendaji.

Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 11, 2025 jijini Dodoma katika ufunguzi wa mkutano mkuu wa 39 wa Viongozi wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT).


Rais Samia: DC na DED wanaotaka Kugombea waseme mapema
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa mwongozo kwa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri na Viongozi wengine ngazi ya Serikali za Mitaa kwa wale wenye nia ya kugombea Ubunge watoe taarifa mapema kwa kuwa wasipofanya hivyo wanaweza kukosa vyote ikiwa hawatafanikiwa kushinda katika Uchaguzi.

Amesema hayo leo Machi 11, 2025 wakati akifungua Mkutano Mkuu wa 39 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete


 
Nukuu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akifungua Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) Ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma, leo tarehe 11 Machi, 2025

IMG-20250311-WA0158.jpg
IMG-20250311-WA0154.jpg
IMG-20250311-WA0153.jpg
IMG-20250311-WA0152.jpg
 

Attachments

  • IMG-20250311-WA0149.jpg
    IMG-20250311-WA0149.jpg
    522.7 KB · Views: 1
  • IMG-20250311-WA0150.jpg
    IMG-20250311-WA0150.jpg
    463 KB · Views: 1
  • IMG-20250311-WA0155.jpg
    IMG-20250311-WA0155.jpg
    542 KB · Views: 1
  • IMG-20250311-WA0151.jpg
    IMG-20250311-WA0151.jpg
    486.4 KB · Views: 1
  • IMG-20250311-WA0148.jpg
    IMG-20250311-WA0148.jpg
    600.3 KB · Views: 1
  • IMG-20250311-WA0147.jpg
    IMG-20250311-WA0147.jpg
    566.4 KB · Views: 1
Miaka minne hujapata watakao simamia serikali?

Mungu tunusuru sisi Tanganyika
 
Nukuu tamu zinataka big brain ndo zinapendeza, sio hizi za u dr wa mchongo!
 
Rais Samia akifungua Mkutano Mkuu wa 39 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) wa 39 Ukumbi wa Jakaya Kikwete -Dodoma Machi 11, 2025.


Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema katika kutafuta ufanisi wa utendaji kazi serikalini ilimpasa kufanya mabadiliko ya nafasi mbalimbali za uongozi ili kupata viongozi ambao watakwenda sambamba na kasi ya utendaji.

Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 11, 2025 jijini Dodoma katika ufunguzi wa mkutano mkuu wa 39 wa Viongozi wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT).


Rais Samia: DC na DED wanaotaka Kugombea waseme mapema
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa mwongozo kwa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri na Viongozi wengine ngazi ya Serikali za Mitaa kwa wale wenye nia ya kugombea Ubunge watoe taarifa mapema kwa kuwa wasipofanya hivyo wanaweza kukosa vyote ikiwa hawatafanikiwa kushinda katika Uchaguzi.

Amesema hayo leo Machi 11, 2025 wakati akifungua Mkutano Mkuu wa 39 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete



Samia huwa ana retreat.
 
Wanaoteuliwa wanatakiwa wamsaidie anayeteua kuendesha shughuli za serikali na siyo kuwa wagombea.
Kama wote wataenda kugombea nani atasimamia na kuendesha shughuli za serikali?
Lazima awepo mmiliki wa ng'ombe na wale wanaolisha, kukamua na kuuza maziwa.
 
Wanaoteuliwa wanatakiwa wamsaidie anayeteua kuendesha shughuli za serikali na siyo kuwa wagombea.
Kama wote wataenda kugombea nani atasimamia na kuendesha shughuli za serikali?
Lazima awepo mmiliki wa ng'ombe na wale wanaolisha, kukamua na kuuza maziwa.
mim nilvo elewa mwakani akishinda uchaguz atafanya mabadiliko atateua wengne ili waendane na kasi yake.
- Ila ameshawanyma raha waliopo saiv kibarua chao bahat nasbu
 
Back
Top Bottom