Rais Samia, ongeza ukali watakuheshimu

Rais Samia, ongeza ukali watakuheshimu

FIKRA HAI

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2013
Posts
231
Reaction score
79
Dhana ya Utawala bora lazima iambatane na mipaka kwa wakosoaji wa Serikali katika kulifikia lengo lililo jema siku zote.

Ni muda Sasa tangu atutoke mwendazake kumekuwa na jitihada za kufifisha maendeleo ya nchi kwa makusudi makubwa Sana kwa baadhi ya wanasiasa.

Taifa hili linahitaji busara kuliendesha na na wakati mwingine UKALI katika kusimamia maendeleo ya wananchi kuliko kusiliza wanasiasa wenye malengo binafsi.

Mh. Rais kuwa mkali kabisa kwa watu wanaotishia usalama wa nchi kwa mwavuli wa Katiba mpya. Amani tuliyoachiwa ina maana kubwa sanaaa tena Sanaa kwa wasiojua maana halisi ya amani.

Aidha utendaji wa viongozi wetu hauko sawa kabisaa, Kuna viongozi uliowapa dhana wakusaidie hawafanyi kazi zao kwa weledi hata kidogo, ondoa watu wanaokwamisha jitihada zako za kuwaletea maendeleo wananchi.

Kwa mfano hapo nyuma kulitokea tatizo la kununua luku kwa siku 3 watu walikosa umeme, lakini baada ya wazuri mkuu kuingilia Kati waziri alikurupa kuwasimamisha watendaji wale wa mfumo wa luku. Alikuwa wapi kwa siku zote tatu hizo? Mpaka Waziri mkuu? Wananchi walalamike?

Mfano mwingine ni Ujenzi wa Barabara zinanzoendelea, wababaishaji ndio wamepewa tenda kwa misingi ya kujuana Bali wakijua kuwa uwezo hawana na badala yake wananchi wanaumizwa bila sababu. Ukarabati wa kuchukua muda mfupi unachukua muda mrefu bila sababu ya msingi.

Hawa wanaokwamisha, wanavuta tofauti na wewe.

Kuna maeneo watu walishasahau foleni Dsm, Leo hii Mandela road kutokea Mwananchi hadi flyover ya Mfugale unalazimika kutumia masaa matatu. Kwanini iwe hivo wakati wa Ujenzi wa flyover Ile hakukuwa vile?

Mh. Rais kaza kamba ondoa watu wanaozembea tuijenge nchi.
 
Kama huo ndio mtazamo wako hata hufai kusikilizwa,kwani ni moja ya wabomoa taifa .
 
Hata Marehemu wenu mlimjaza upepo hivyohivyo,baadae akawa nunda, akakomaa akawa na kibri, akaota mapembe,meno yakakomaa,akaanza kula watoto wake mwenyewe,baadae wazee wake,hatimae wananzego wakaogopa wakamla kichwa.
Mjazeni upepo mama wa watu.
 
Tatizo kubwa la wapinzani wa Tanzania ni tamaa. Wameweka mbele tamaa na masilahi ya matumbo yao kuliko masilahi ya nchi yao. Kwa sasa wanajifanya kuipigania katiba ili wapige hela kupitia vikao hivyo vya kutengeneza katiba. Wako radhi miradi yote ya serikali kama vile barabara, hospital, shule nk visimame ili hela hizo zielekezwe kwenye vikao vya katiba wajaze matumbo yao. Raisi Samia awapuuze tu.
 
Hata Marehemu wenu mlimjaza upepo hivyohivyo,baadae akawa nunda, akakomaa akawa na kibri, akaota mapembe,meno yakakomaa,akaanza kula watoto wake mwenyewe,baadae wazee wake,hatimae wananzego wakaogopa wakamla kichwa.
Mjazeni upepo mama wa watu.
Sawa kabisa ilitakiwa na ww akumeze kabisa nashangaa amekuacha !?
 
Tatizo kubwa la wapinzani wa Tanzania ni tamaa. Wameweka mbele tamaa na masilahi ya matumbo yao kuliko masilahi ya nchi yao. Kwa sasa wanajifanya kuipigania katiba ili wapige hela kupitia vikao hivyo vya kutengeneza katiba. Wako radhi miradi yote ya serikali kama vile barabara, hospital, shule nk visimame ili hela hizo zielekezwe kwenye vikao vya katiba wajaze matumbo yao. Raisi Samia awapuuze tu.
Una maanisha wakati wa mchakato wa kwanza ujenzi wa bara bara,shule nk ulisimama?
 
Tatizo kubwa la wapinzani wa Tanzania ni tamaa. Wameweka mbele tamaa na masilahi ya matumbo yao kuliko masilahi ya nchi yao. Kwa sasa wanajifanya kuipigania katiba ili wapige hela kupitia vikao hivyo vya kutengeneza katiba. Wako radhi miradi yote ya serikali kama vile barabara, hospital, shule nk visimame ili hela hizo zielekezwe kwenye vikao vya katiba wajaze matumbo yao. Raisi Samia awapuuze tu.
Tanzania hakuna wapinzani wala wanasiasa wa ukweli...ila kuna wafanyabiashara wa siasa.
 
Ni kweli mkuu,

Sifurahishwi namna vyama vya upinzania wasivyomheshimu Rais.

It is totally unacceptable.

Samia must be bold.
Kwa hiki kinachoendelea cha kutumia nguvu kuzuia madai halali kumemshushia heshima yake ili kuwafurahisha wahafidhina wa chama chake. Matokeo yake madai haya ya halali yatamuweka kwenye wakati mgumu, kuliko angeruhusu kongamano hilo la ndani kufanyika. Ukali wake uwe kwenye makosa na sio kwenye kuzuia madai halali. Ningemuona mkali kwenye kuwakamata waliokuwa wamejiunganishia bomba la mafuta, na sio ukali kwa maslahi binafsi ya chama chake.
 
Mnampotosha, ushauri wa maana ni kumwambia aheshimu kiapo chake cha urais na katiba ya nchi, yaani atende haki kama alivyoapa wakati anakula kiapo cha urais

It takes two to tango. Unaelewa nini wewe kuhusu katiba. Kwamba ufanye tu bila mipaka wala kuangalia the Good of the community. Rais kazi yake Ni zaidi ya wewe na mbowe wako ambao hamzidi 3% ya watanzania wote. Acha kukariri mambo kwa faida yako tu. Be reasonable na critical.
 
It takes two to tango. Unaelewa nini wewe kuhusu katiba. Kwamba ufanye tu bila mipaka wala kuangalia the Good of the community. Rais kazi yake Ni zaidi ya wewe na mbowe wako ambao hamzidi 3% ya watanzania wote. Acha kukariri mambo kwa faida yako tu. Be reasonable na critical.
Katiba na sheria za nchi zinaruhusu wananchi kukusanyika na kujadili hatma za maisha yao. haki hii Siyo hisani ya rais
 
It takes two to tango. Unaelewa nini wewe kuhusu katiba. Kwamba ufanye tu bila mipaka wala kuangalia the Good of the community. Rais kazi yake Ni zaidi ya wewe na mbowe wako ambao hamzidi 3% ya watanzania wote. Acha kukariri mambo kwa faida yako tu. Be reasonable na critical.
Ungeweza kutupa elimu vizuri mkuu kua kudai Katiba mpya ni kosa.
Hivi wakati TANU Inaanza kudai Uhuru ni kwamba watanganyika wote walikua wajua umuhimu wa Uhuru?
Yaani leo CCM mnawagopa watanzania wanaodai kupata Katiba Mpya?
Mbona Waislam waliokua na kosa Ugaidi wapo huru?
Mbona muislam Seth yupo huru pamoja na kuiba pesa za umma?
Mbona mkiristu Ruge yupo jera ila mtuhumiwa mwenzie yupo nje ya jera?
 
Tatizo kubwa la wapinzani wa Tanzania ni tamaa. Wameweka mbele tamaa na masilahi ya matumbo yao kuliko masilahi ya nchi yao. Kwa sasa wanajifanya kuipigania katiba ili wapige hela kupitia vikao hivyo vya kutengeneza katiba. Wako radhi miradi yote ya serikali kama vile barabara, hospital, shule nk visimame ili hela hizo zielekezwe kwenye vikao vya katiba wajaze matumbo yao. Raisi Samia awapuuze tu.
Kwa maccm yapo kwa maslahi yako na mkeo?Jitu jinga sn ww
 
Kama una ngozi nyepesi uraisi haukufai.Yesu angesikiliza watu tusingepata wokovu.
Mtu matured asumbuliwi na kelele za milango
 
Dhana ya Utawala bora lazima iambatane na mipaka kwa wakosoaji wa Serikali katika kulifikia lengo lililo jema siku zote.

Ni muda Sasa tangu atutoke mwendazake kumekuwa na jitihada za kufifisha maendeleo ya nchi kwa makusudi makubwa Sana kwa baadhi ya wanasiasa.

Taifa hili linahitaji busara kuliendesha na na wakati mwingine UKALI katika kusimamia maendeleo ya wananchi kuliko kusiliza wanasiasa wenye malengo binafsi.

Mh. Rais kuwa mkali kabisa kwa watu wanaotishia usalama wa nchi kwa mwavuli wa Katiba mpya. Amani tuliyoachiwa ina maana kubwa sanaaa tena Sanaa kwa wasiojua maana halisi ya amani.

Aidha utendaji wa viongozi wetu hauko sawa kabisaa, Kuna viongozi uliowapa dhana wakusaidie hawafanyi kazi zao kwa weledi hata kidogo, ondoa watu wanaokwamisha jitihada zako za kuwaletea maendeleo wananchi.

Kwa mfano hapo nyuma kulitokea tatizo la kununua luku kwa siku 3 watu walikosa umeme, lakini baada ya wazuri mkuu kuingilia Kati waziri alikurupa kuwasimamisha watendaji wale wa mfumo wa luku. Alikuwa wapi kwa siku zote tatu hizo? Mpaka Waziri mkuu? Wananchi walalamike?

Mfano mwingine ni Ujenzi wa Barabara zinanzoendelea, wababaishaji ndio wamepewa tenda kwa misingi ya kujuana Bali wakijua kuwa uwezo hawana na badala yake wananchi wanaumizwa bila sababu. Ukarabati wa kuchukua muda mfupi unachukua muda mrefu bila sababu ya msingi.

Hawa wanaokwamisha, wanavuta tofauti na wewe.

Kuna maeneo watu walishasahau foleni Dsm, Leo hii Mandela road kutokea Mwananchi hadi flyover ya Mfugale unalazimika kutumia masaa matatu. Kwanini iwe hivo wakati wa Ujenzi wa flyover Ile hakukuwa vile?

Mh. Rais kaza kamba ondoa watu wanaozembea tuijenge nchi.

heshima sasa imerudi
 
Dhana ya Utawala bora lazima iambatane na mipaka kwa wakosoaji wa Serikali katika kulifikia lengo lililo jema siku zote.

Ni muda Sasa tangu atutoke mwendazake kumekuwa na jitihada za kufifisha maendeleo ya nchi kwa makusudi makubwa Sana kwa baadhi ya wanasiasa.

Taifa hili linahitaji busara kuliendesha na na wakati mwingine UKALI katika kusimamia maendeleo ya wananchi kuliko kusiliza wanasiasa wenye malengo binafsi.

Mh. Rais kuwa mkali kabisa kwa watu wanaotishia usalama wa nchi kwa mwavuli wa Katiba mpya. Amani tuliyoachiwa ina maana kubwa sanaaa tena Sanaa kwa wasiojua maana halisi ya amani.

Aidha utendaji wa viongozi wetu hauko sawa kabisaa, Kuna viongozi uliowapa dhana wakusaidie hawafanyi kazi zao kwa weledi hata kidogo, ondoa watu wanaokwamisha jitihada zako za kuwaletea maendeleo wananchi.

Kwa mfano hapo nyuma kulitokea tatizo la kununua luku kwa siku 3 watu walikosa umeme, lakini baada ya wazuri mkuu kuingilia Kati waziri alikurupa kuwasimamisha watendaji wale wa mfumo wa luku. Alikuwa wapi kwa siku zote tatu hizo? Mpaka Waziri mkuu? Wananchi walalamike?

Mfano mwingine ni Ujenzi wa Barabara zinanzoendelea, wababaishaji ndio wamepewa tenda kwa misingi ya kujuana Bali wakijua kuwa uwezo hawana na badala yake wananchi wanaumizwa bila sababu. Ukarabati wa kuchukua muda mfupi unachukua muda mrefu bila sababu ya msingi.

Hawa wanaokwamisha, wanavuta tofauti na wewe.

Kuna maeneo watu walishasahau foleni Dsm, Leo hii Mandela road kutokea Mwananchi hadi flyover ya Mfugale unalazimika kutumia masaa matatu. Kwanini iwe hivo wakati wa Ujenzi wa flyover Ile hakukuwa vile?

Mh. Rais kaza kamba ondoa watu wanaozembea tuijenge nchi.
Hua hamuelewekagi waTZ,mnahitaji MKALI akiletwa mnageuka mnataka mpole.

Hivi hii mnataka iwe ya maendeleo ya kusadikika?
Always Rais/mtu MKALI ambaye tunasema anaambatanaga na userious kwenye mambo take ndo hupigaga hatua.
Mpole huishia kuchezewa sharubu tu
 
Back
Top Bottom