Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitulinga mingi na akili kidogo ndizo qualifications za jeshi.Unakuwa na Reasoning alafu unapata assessment IV or zero 🤣 🤣 ? Jeshi la polisi halihitaji mtu smart hata siku moja,na huu ndo ukweli mchungu.
This is one of the take home msg, to me inatoshaNi vyema kabla ya kuhukumu ungesikiliza hotuba yote, huyu John yeye kachomoa kakipande kadogo sana katika hili, Rais kaongea kirefu zaidi, nimemsikiliza mwanzo mwisho, ingia you tube ya tbc kuna hiyo hotuba yote, then utacomment ukiwa full informed
Na wao kwanini wawatake watu wenye division 4 pekee wakati wa division 1 na 2 na 3 wapo wengi?Reasoning yako ipo chini sana, kwa hiyo mtu kupata division 4 ina maana hana akili?
Reputation ya Taasisi inaanza kuangaliwa kwanzia entry qualifications-Mfano BOT,huwezi kukuta DIV 4 mule kwa sababu kazi inahitaji weledi na siyo porojo,Polisi kila siku wanashindwa mahakamani sababu ya kutumia watu wenye uwezo mdogo kiakili kupambana na watu wenye uelewa mpana. 🤣 🤣Mitulinga mingi na akili kidogo ndizo qualifications za jeshi.
Good question.Halafu huyu askari anaandaa ushahid wa kesi ambao unaenda kuwa cross examined na mtu mwenye IQ kubwa kichwani,Si majanga haya 🤣 🤣Na wao kwanini wawatake watu wenye division 4 pekee wakati wa division 1 na 2 na 3 wapo wengi?
Uwe na kadi au chawa wa maccm!Ukitaka kesi yako iende haraka toa pesa
Anatakiwa apate kazi inayoendana na hiyo division 4 yake short of that utakuwa unamtwisha mzigo mkubwa unaozidi uwezo wake...Reasoning yako ipo chini sana, kwa hiyo mtu kupata division 4 ina maana hana akili?
UDSM miaka ya tangu uhuru mpaka 1980s, kubaki pale ni GPA ya 4.5 and above. And that is when UDSM was a place of intellectuals! Baada ya kuja siasa za wizi wa mitihani ndio hao polisi wanakwenda UDSM kusoma.Reputation ya Taasisi inaanza kuangaliwa kwanzia entry qualifications-Mfano BOT,huwezi kukuta DIV 4 mule kwa sababu kazi inahitaji weledi na siyo porojo,Polisi kila siku wanashindwa mahakamani sababu ya kutumia watu wenye uwezo mdogo kiakili kupambana na watu wenye uelewa mpana. 🤣 🤣
🤣 🤣 🙌 🙌 🙌Anatakiwa apate kazi inayoendana na hiyo division 4 yake short of that utakuwa unamtwisha mzigo mkubwa unaozidi uwezo wake...
Polisi walikuwa wanafanya maigizo mpaka mwendazake aliyekuwa anawatuma akawaona hawabebeki,Mwendazake akaishia kuwaambia jeshi la polisi "Watanzania siyo wajinga kiasi hcho"🤣🤣🤣Anatakiwa apate kazi inayoendana na hiyo division 4 yake short of that utakuwa unamtwisha mzigo mkubwa unaozidi uwezo wake...
In Manara voice "tena ww nilikuwa nakutafuta sana kaa kimya kabisa usiongee"Ila Samia bwana,Ila kusafiri na kundi kubwa la watu si gharama kwa serikali.
Ficha aibu mkuu.Hujajibu swali, mtu kupata div 4 maana yake hana akili?
Ni leo Rais Samia alikuwa anaongea na viongozi wa jeshi la polisi Oysterbay mkoani Dar es salaam!Bwashee hii Ni ya Leo na Ni katika tukio lipi?