Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
2030 linaingia bulldozer lingine, na lichama lao lishajifia!! Walisema wataandamana, wametulizwa wanabaki kulia liaKuna kundi la chuki la Raisi wetu anachofanya chochote sicho hawa watu washazoeya kunywa maji kikuku ,leo wamekuwa na midomo sana juu yako hebu watie moto kidogoo katika ndimi zao hata Nabii Mussa alikuwa nae yule Samiriyu.Ukiwa mpole sana watakutia vidole vya macho yule buldozer aliwavuruga hawa hawa vidomo domo wakaaa kimya sana.
Na wanachukua div 4 ili iwe rahisi kuwasimangaNdani ya polisi unafundishwa kutii amri siyo kutumia akili kuchambua mambo .Ukiambiwa shoot unafyatua siyo unahoji why?
Mabandiko kama haya kiukweli yanasaidia sana. Kwanza someni nilishauri nini,Rais Samia ameliagiza jeshi la polisi kuhakikisha linakamilisha upelelezi kwa haraka na kuwaachia huru watuhumiwa ambao kesi zao hazina mashiko.
Rais amesema hivi sasa idadi ya wafungwa inakaribiana kuwa sawa na idadi ya mahabusu.
Kadhalika Rais Samia amemtaka IGP Sirro kuhakikisha hawatumii mabavu bila tija na tabia ya mahabusu kufia rumande hayatoi picha nzuri kwa jeshi hilo.
Chanzo: TBC
=======
Rais Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Polisi kukaa na wadau wengine kuangalia uwezekano wa kurekebisha Sheria ya kuweka watu mahabusu, akisema kwenye Nchi nyingine mtu hakamatwi mpaka upelelezi utimie
Ameeleza Kesi nyingi zinakwama Mahakamani kutokana na kucheleweshwa kwa upelelezi au kukosekana ushahidi akisema, "Hizi tunaita kesi za kubambikiza"
Amesisitiza, "Kama kesi haina mwelekeo watu watolewe. Kwa kesi ambazo mna uhakika upelelezi utatimia basi uharakishwe"
Watu wameshamtonya Step Maa kua alijivuruga alivyoongea na BBC Swahili.Inatafutwa mbinu za mbowe kutolewa,
Kwa jinsi watendaji wa serekali wasivyomchukulia Samia seriously, hakuna kitu itafanyika hapo!Rais Samia ameliagiza jeshi la polisi kuhakikisha linakamilisha upelelezi kwa haraka na kuwaachia huru watuhumiwa ambao kesi zao hazina mashiko.
Rais amesema hivi sasa idadi ya wafungwa inakaribiana kuwa sawa na idadi ya mahabusu.
Kadhalika Rais Samia amemtaka IGP Sirro kuhakikisha hawatumii mabavu bila tija na tabia ya mahabusu kufia rumande hayatoi picha nzuri kwa jeshi hilo.
Chanzo: TBC
=======
Rais Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Polisi kukaa na wadau wengine kuangalia uwezekano wa kurekebisha Sheria ya kuweka watu mahabusu, akisema kwenye Nchi nyingine mtu hakamatwi mpaka upelelezi utimie
Ameeleza Kesi nyingi zinakwama Mahakamani kutokana na kucheleweshwa kwa upelelezi au kukosekana ushahidi akisema, "Hizi tunaita kesi za kubambikiza"
Amesisitiza, "Kama kesi haina mwelekeo watu watolewe. Kwa kesi ambazo mna uhakika upelelezi utatimia basi uharakishwe"
Mkuu, zamani ningekuwa mtu wa kwanza kufungua bandiko lako but tangu ulivyojiunga na watesi wa nchi hii - hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!Mabandiko kama haya kiukweli yanasaidia sana. Kwanza someni nilishauri nini,
Ushauri kwa DPP: Kutekeleza nia njema ya Rais Samia, kuona Haki ikitendeka; je, tumchagize DPP kutumia Nolle kufuta kesi zote zinazosuasua?
Wanabodi, Jumatatu ya leo, naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo zinachapishwa kwenye gazeti la Nipashe kila siku za Jumapili, makala ya leo ni swali la ushauri wa Bure kwa DPP, kwa vile Rais Samia, ameishaonyesha nia njema ya kutaka Watanzania watendewe haki, Jee...www.jamiiforums.com
Soma ushauri wangu kwenye bandiko hilo, auangalie rais Mama Samia ameagiza mini.
P
Hahahah Aseeee!Ndio hana akili hata kidogo. Unatusumbua hapa na maswali ya kijinga. Nasoma comment za maana na wewe unakomaa kutetea division IV yako hapa. Bangladesh
Nasikia huko wanahitaji nguvu tu, akili ziache nyumbani....Jeshi la Polisi limejaa wahuni wengi waliokuwa Green Guard, ambao hawana mafunzo, sifa wala weledi kwa kazi nyeti ya upolisi.
Nguvu na akili huwa haviendi sambamba 🤣 🤣Nasikia huko wanahitaji nguvu tu, akili ziache nyumbani....
Tatizo wenye interest zao wanambana mbavuKidogo naanza kuelewa kwanini watu wanasema mama anaupiga mwingi!
Kwamba?!Alisema Mkapa, Kikwete, Magufuli na hakuna kilichofanyika. Na Rais wa kumi nae atasema hivi hivi...
Hii nayo ni siasa ya kutafutia ujiko?Rais Samia ameliagiza jeshi la polisi kuhakikisha linakamilisha upelelezi kwa haraka na kuwaachia huru watuhumiwa ambao kesi zao hazina mashiko.
Rais amesema hivi sasa idadi ya wafungwa inakaribiana kuwa sawa na idadi ya mahabusu.
Kadhalika Rais Samia amemtaka IGP Sirro kuhakikisha hawatumii mabavu bila tija na tabia ya mahabusu kufia rumande hayatoi picha nzuri kwa jeshi hilo.
Chanzo: TBC
=======
Rais Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Polisi kukaa na wadau wengine kuangalia uwezekano wa kurekebisha Sheria ya kuweka watu mahabusu, akisema kwenye Nchi nyingine mtu hakamatwi mpaka upelelezi utimie
Ameeleza Kesi nyingi zinakwama Mahakamani kutokana na kucheleweshwa kwa upelelezi au kukosekana ushahidi akisema, "Hizi tunaita kesi za kubambikiza"
Amesisitiza, "Kama kesi haina mwelekeo watu watolewe. Kwa kesi ambazo mna uhakika upelelezi utatimia basi uharakishwe"
Mama Samia anaeleweka lakini haeleweki!