Rais Samia: Polisi ipo kuhudumia wananchi na sio kuwadidimiza

Rais Samia: Polisi ipo kuhudumia wananchi na sio kuwadidimiza

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Baadhi ya Watumishi wa Jeshi la Polisi wanashutumiwa kutofanya Haki kwa Jamii, akisema hali hiyo inapotokea Jeshi linakuwa mstari wa mbele kujitetea pasipo kuangalia upande wa pili.

Ametolea mfano tukio la uvamizi wa bucha za nyama miezi kadhaa iliyopita na kusema "Walipolalamika mkasema tumefanya vile kwa Sheria. Lakini ukiangalia kwa undani kilichotendeka hakuna Sheria"

Aidha, amelitaka Jeshi la Polisi kuangalia matumizi makubwa ya nguvu akisema kesi za watu kupoteza maisha katika Vituo vya Polisi havileti picha nzuri.

ABBCF708-FAC5-46B4-87BC-94382A124613.jpeg
DF1137F3-6C7F-47F3-8546-BA781544A043.jpeg
 
Hizi ngojera za nini, toa solution kwamba mtu akifia kituo cha polisi au kuteswa, polisi fukuza na peleka mahakamani kwa murder case, itungie sheria. Unasema hivcyo lakini inamuweka Mbowe bila sababu.
 
Baadhi ya Watumishi wa Jeshi la Polisi wanashutumiwa kutofanya Haki kwa Jamii, akisema hali hiyo inapotokea Jeshi linakuwa mstari wa mbele kujitetea pasipo kuangalia upande wa pili....
Haya nayo ni sawa na Nyerere aliposema "kwa katiba hii mkipata kiongozi mwenye elements za u dictator mtatawaliwa ki dictator ". Na akaishia hapo bila kuifanyia katiba hiyo mabadiliko. Leo tunawaona wenye kiu na madaraka wakiitumia watakavyo .

Huyu nae analilaumu bila kuamuru mabadiliko kwenye udhaifu anaouona.
 
Mbona walikuwa wanakimbia na moboksi ya kura wakati wa uchaguzi
hilo halisemi
Hapo atawapongeza kwa kutimiza lile neno lake; "hata tusipowachagua wao ndio watatangazwa washindi", hiki anachoongea Samia ni usanii mtupu.
 
Baadhi ya Watumishi wa Jeshi la Polisi wanashutumiwa kutofanya Haki kwa Jamii, akisema hali hiyo inapotokea Jeshi linakuwa mstari wa mbele kujitetea pasipo kuangalia upande wa pili

Ametolea mfano tukio la uvamizi wa bucha za nyama miezi kadhaa iliyopita na kusema "Walipolalamika mkasema tumefanya vile kwa Sheria. Lakini ukiangalia kwa undani kilichotendeka hakuna Sheria"

Aidha, amelitaka Jeshi la Polisi kuangalia matumizi makubwa ya nguvu akisema kesi za watu kupoteza maisha katika Vituo vya Polisi havileti picha nzuri
Tamko la kizembe sana hili, tena bila hatua madhubuti.

Bila damu kutoka kwa masikio KENGE huwa hasikii
 
Baadhi ya Watumishi wa Jeshi la Polisi wanashutumiwa kutofanya Haki kwa Jamii, akisema hali hiyo inapotokea Jeshi linakuwa mstari wa mbele kujitetea pasipo kuangalia upande wa pili.

Ametolea mfano tukio la uvamizi wa bucha za nyama miezi kadhaa iliyopita na kusema "Walipolalamika mkasema tumefanya vile kwa Sheria. Lakini ukiangalia kwa undani kilichotendeka hakuna Sheria"

Aidha, amelitaka Jeshi la Polisi kuangalia matumizi makubwa ya nguvu akisema kesi za watu kupoteza maisha katika Vituo vya Polisi havileti picha nzuri.

Kwa hizi ngonjera aliaminika kabla ya siku 100 kufika.

Alipo huku hata angenyamaza tu.

RPC Mwanza alisema je?
 
Pia awashauri Wapendwa sana Askari Polisi wetu wazingatie mazoezi na kuwa na nidhamu ya kula, wengi wananenepeana mpaka Wananchi tunaanza kupata hofu juu ya Usalama wetu na Mali zetu..
 
Haya nayo ni sawa na Nyerere aliposema "kwa katiba hii mkipata kiongozi mwenye elements za u dictator mtatawaliwa ki dictator ". Na akaishia hapo bila kuifanyia katiba hiyo mabadiliko. Leo tunawaona wenye kiu na madaraka wakiitumia watakavyo .

Huyu nae analilaumu bila kuamuru mabadiliko kwenye udhaifu anaouona.
Analaumu hali ye ndo chanzo
 
Back
Top Bottom