Rais Samia amesema Serikali imejipanga kujenga Soko kubwa kama la Kariakoo eneo la Jangwani kupitia pesa za utekelezaji wa mradi ya DMDP ambapo baadhi ya wafanyabiashara (Machinga) watahamishiwa huko pindi litakapokamili.
"Dar es Salaam tuna mradi wa DMDP ambao kati ya fedha za DMDP tumejipanga kujenga Soko jingine kubwa na nzuri kama la Kariakoo maeneo ya Jangwani, kwahiyo ni maoni yetu kwamba baadhi ya Wafanyabishara, Wanangu Wamachinga tutawahamisha tuwapeleke kwenye Soko lile la Jangwani na wakafanye biashara zao kwa nafasi"
Dodoma walijifanya wamekarabat vichwa wamejenga soko nje kabisa ya mji ili kukwepa folen, umeona kilichotokea ? Njombe wamejenga mjini kabisa soko lao, umeona lilivyo ?
Kwenye hili tumekosea sana. tutaenda kukosea sana kuweka Soko Kubwa tena Jangwani just mkabala na Kariakoo. Hapo itakuwa foleni kubwa sana ya magari Mjini. Mimi kama ingekuwa soko kama la Kariakoo ningeshauri lijengwe Bunju, Mbezi-Kibamba, Mbagala-Kongowe hapo tungeenda sawa kudengonjest city center. Otherwise hapa itakuwa kama kituo cha mwendokasi. Jagwani wangechimba mifereji mikubwa .ya kuondoa mafuriko kwa kuunganisha na Bahari then Pembeni tupande miti kupendezesha jiji. Basi.
Dodoma walijifanya wamekarabat vichwa wamejenga soko nje kabisa ya mji ili kukwepa folen, umeona kilichotokea ? Njombe wamejenga mjini kabisa soko lao, umeona lilivyo ?
Dodoma walijifanya wamekarabat vichwa wamejenga soko nje kabisa ya mji ili kukwepa folen, umeona kilichotokea ? Njombe wamejenga mjini kabisa soko lao, umeona lilivyo ?
Ukiona hivyo maana yake havikuwa vimekarabatiwa ilikua hivihvi, kichwa kilichokaa sawa hakiwezi kufanya investment ya ukubwa huo ikafeli! Yani wanapitwa akili na yule mchaga wa tegeta kibo? Alianza kukiwa porini kabisa na hajawahi kufeli. Huwezi kumlinganisha na viazi vilivyoweka kituo cha mwendokasi jangwani na leo wanakuja tena na jipya, watakua wamejifunza kukwepa mafuriko tu ila akili yao ni ileile km ya kuweka uwanja wa Mkapa na shamba la bibi sehemu moja! Pathetic