johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais Samia Suluhu Hassan Serikali amesema Serikali ina mpango wa kuzifungamanisha huduma za Usafirishaji wa Treni za Reli ya TAZARA na za Reli ya Kisasa za SGR ili kuongeza ufanisi na kurahisha Usafirishaji nchini.
Rais Samia amesema hayo akiwa Mikumi mkoani Morogoro katika muendelezo wa ziara yake.
Source: Mwanahalisi Digital
Soma pia: Rais Samia azindua Rasmi Mradi wa Mkakati wa Treni ya Umeme ya SGR Dar es Salaam hadi Dodoma, leo Agosti 1, 2024
Rais Samia amesema hayo akiwa Mikumi mkoani Morogoro katika muendelezo wa ziara yake.
Source: Mwanahalisi Digital
Soma pia: Rais Samia azindua Rasmi Mradi wa Mkakati wa Treni ya Umeme ya SGR Dar es Salaam hadi Dodoma, leo Agosti 1, 2024