Rais Samia siyo wote walioachishwa kazi kipindi cha Magufuli walighushi vyeti, wasaidie

Acha uwongo,hakuna alihetumbuliwa kwa kubadili kada,sababu ukiwa mtumishi ni haki yako inayolindwa kikatiba kujiendeleza,vyeti feki vilijikita form 4 na form 6,sema ulifoji vyeti tu kuwa mkweli,kakaangu aliingia na voda fasta na sasa hivi siyo mwalimu ni mtumishi serikalini idara tofauti na ualimu,kwann hajaguswa??
 
Ni ibala ipi ya katiba inayomlinda mtumishi kujiendeleza kama siyo uzezeta unaleta na ujuaji wako usiyo na maana?

Miongozo ya utumishi inayotoka kila leo juu ya watumishi unaijua au unaifuatilia hasa unaohusu kujiendeleza?
 
Huwezi ukaelewa kwa sababu uzi huu siyo wako,sasa usiwe unaropoka na kubisha kity ambachohuelewi au huna uhakika nacho
Punguza baasi uongo nani alifanyiwa recategorization halafu kafukuzwa bwana sio Kweli mi nawajua waliofanyiwa na wapo ktk vitengo vyao
Huyo hakufata taratibu au alienda kimagumashi brooo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Punguza baasi uongo nani alifanyiwa recategorization halafu kafukuzwa bwana sio Kweli mi nawajua waliofanyiwa na wapo ktk vitengo vyao
Huyo hakufata taratibu au alienda kimagumashi brooo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unaweza kufanya recategoeization kwa magumashi kweli?nimeweka barua yake yenye sababu za kuachishwa umezisoma?wapi wameandika amefanya magumashi,siyo kila mtu ni muongo kama ulivyo wewe na usilazimishe matukio yafanane na ya ndugu zako kenge wewe
 
Unaweza kufanya recategoeization kwa magumashi kweli?nimeweka barua yake yenye sababu za kuachishwa umezisoma?wapi wameandika amefanya magumashi,siyo kila mtu ni muongo kama ulivyo wewe na usilazimishe matukio yafanane na ya ndugu zako kenge wewe
Hehe....[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 

Jina la——
 
Wenye vyeti feki wapo na ni wengi Tu na wanajijua kinachoendelea sasa HV ni usanii mtupu, kuna chuo cha mkskati kiko Tanga kimebeba vyeti feki balaan ila kina uhusiano na boss mataifa mmoja HV paka hayupo Acha panya walambe asali...
 
Mleta mada yupo sawa,kuna internal auditor wa SHINYANGA dc alikuwa mwalimu wa leseni akajiendeleza uhasibu kabla ya ualimu,alifukuzwa kazi,pia dada mmoja afisa kilimo SHINYANGA manispaa nae alikuwa mwalimu wa leseni akaenda kusoma SUA aliporudi akafanyiwa recategorization,alifukuzwa pia,wanaelezwa walitakiwa kujiendeleza ualimu kwanza wapate tsd namba,hawakuwa na vyeti feki
 
Nimeisoma hiyo barua (kwa shida maana picha ina low quality) na nimeielewa kwamba, ajira aliyopewa mleta mada ilikua na masharti kwamba akijiendeleza, ajiendeleze kwenye kada ya ualimu. Naomba mleta mada uweke nakala ya mkataba wa ajira hapa (wa mwaka 2006).

Kama mkataba ulikua una masharti na wewe umejiendeleza kwenye fani nyingine, wana haki ya kukula kichwa.

Kumbuka uliajiriwa kwa masharti.
 
Uko sahihi mkayana wao ulikuwa na masharti hayo sasa ninachota kushare humu ni kwanini wanaolipwa mafao ni wenyevyeti feki tu?


Je hawa kwanini hawalipwi na hizo hela zao walizokwishakatwa zinaenda wapi?

Karibu!!
 
Kuna mijitu humu kazi yao ni kubisha tu haichunguzi hata kidogo inakurupuka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…