benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,533
- 3,187
Pia soma: Rais Samia kununua kila goli Tsh. Milioni 5 mechi za Simba, Yanga CAF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uharibifu wa kodi zetuRais wa Tanzania, Samia Suluhu ameahidi kutoa ndege Maalum itakayowapeleka Timu ya Yanga kwenye mchezo wa Fainali nchini Algeria pamoja na zawadi ya Shilingi Milioni 20 kwa kila goli kwenye mchezo wa fainali wa kombe la Shirikisho barani Afrika
cheap popularityRais wa Tanzania, Samia Suluhu ameahidi kutoa ndege Maalum itakayowapeleka Timu ya Yanga kwenye mchezo wa Fainali nchini Algeria pamoja na zawadi ya Shilingi Milioni 20 kwa kila goli kwenye mchezo wa fainali wa kombe la Shirikisho barani Afrika
cheap popularityCCM na Yanga damu damu😀😀😀
Muulize Mbowa Chopa kalipiwa na nani?😂😂😂cheap popularity
Hakuna correlation coefficient kati ya Chama na timu ya mpiraCCM na Yanga damu damu[emoji3][emoji3][emoji3]
sijui, na sina sababu. Issue ni cheap popularity seeking presidentMuulize Mbowa Chopa kalipiwa na nani?😂😂😂
CCM ni chama kikubwa sana!
Hili ndio anaweza,kupunguza mfumuko wa bei kwake ni mlima evaristRais wa Tanzania, Samia Suluhu ameahidi kutoa ndege Maalum itakayowapeleka Timu ya Yanga kwenye mchezo wa Fainali nchini Algeria pamoja na zawadi ya Shilingi Milioni 20 kwa kila goli kwenye mchezo wa fainali wa kombe la Shirikisho barani Afrika
Utajua hujui 😀😀😀😀sijui, na sina sababu. Issue ni cheap popularity seeking president
sawaUtajua hujui 😀😀😀😀
Task force itaendelea kukusanya KariakooUharibifu wa kodi zetu
Uwe na heshima basi. Michezo ni uchumi, biashara na utalii kwa kuitangaza nchi. 🙏🙏🙏Raisi chenga Sana huyu
Kwa hyo unanifokeaUwe na heshima basi. Michezo ni uchumi, biashara na utalii kwa kuitangaza nchi. 🙏🙏🙏