Serikali ya teuwateuwa!Rais Samia amefanya uteuzi wa viongizi mbalimbali.View attachment 1895498
Alikuwa Nani kablaElsie Sia Kanza hapo Tanzania imepata balozi anayefaa kabisa kuiwakilisha nchi yetu .
Ndio zamu yetu wazanzibari. Kama inawakera lianzisheni kama TALIBAN.Zamu yetu Wazanzibari asiyetaka ahamie Burundi
🤣🤣🤣🤣Zamu yetu Wazanzibari asiyetaka ahamie Burundi
Wacha bwana, Samia mke mmoja kati ya wake watatu????Ndio zamu yetu wazanzibari. Kama inawakera lianzisheni kama TALIBAN.
Na kama hamjui mama ana watoto wanne ila ana wake wenzie watatu na watoto wote lazima awape vitengo
Una umri gani? Samahan lakinAnateua akiwa Malawi.Hapa hatuna Rais tuna mzurulaji.
Kikwete ndiye aliyetuhatibia hii Nchi.
Ulikuwa hujui mkuu?Wacha bwana, Samia mke mmoja kati ya wake watatu????
Itafanyiwa 'Dialysis' panapo majaliwa!Katiba mbovu!