Shida nyingine ni dhana ya viongozi na chama chetu ccm, kuwa haiwezekani kupatikana kiongozi toka opposition parties. Hili ndio tatizo kuu, fikra hizi zikiondoka tunaweza piga hatua za kiuchumi kwa kuwa na mihimili inayojitegemea na huheshimu wananchi waliowaweka madarakani. Viongozi wa upinzani nionavyo mimi wemegeuzwa kuwa wanaharakati na freedom fighters rather than opposition leaders, trick hii imefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana. Ukiviacha opposition parties vikatulia na kuweka strategies zao tungeweza kuona kulichomo ndani yao but constantly they are kept on their toes.