Rais Samia Suluhu amteua Jaji Jacob Mwambegele kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)

Rais Samia Suluhu amteua Jaji Jacob Mwambegele kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Rais Samia Suluhu amemteua Jaji Jacob Mwambegele kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), akichukua nafasi ya Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, Semistocles Kaijage ambaye amemaliza muda wake.

Jaji Mwambegele ni Jaji wa Mahakama ya Rufani na Mjumbe wa NEC.

CE3132E8-38B5-488B-A099-D611D15D34DB.png


Pia, soma: Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya
 
Huyu alikuwa mjumbe wa NEC ile ile iliyovuruga uchaguzi na kupora kura , hatakuwa na jipya , Sasa ndio muelewe kwamba kile kikao cha Mutungi na akina Zitto , Lipumba na mamluki wengine hakikuwa na maana yoyote .

Hii ndio Tume huru ya uchaguzi ?
 
Shida nyingine ni dhana ya viongozi na chama chetu ccm, kuwa haiwezekani kupatikana kiongozi toka opposition parties. Hili ndio tatizo kuu, fikra hizi zikiondoka tunaweza piga hatua za kiuchumi kwa kuwa na mihimili inayojitegemea na huheshimu wananchi waliowaweka madarakani. Viongozi wa upinzani nionavyo mimi wemegeuzwa kuwa wanaharakati na freedom fighters rather than opposition leaders, trick hii imefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana. Ukiviacha opposition parties vikatulia na kuweka strategies zao tungeweza kuona kulichomo ndani yao but constantly they are kept on their toes.
 
Back
Top Bottom