Rais Samia Suluhu amteua Rogatus Mativila kuwa Mtendaji Mkuu TANROADS. Prof. Mgaya wa NIMR awa Mwenyekiti Bodi ya TAFICO

Mmmmh!!!
Kutoka utafiti wa magonjwa ya binadamu kwenda kuvua samaki?
 
Haieleweki. Uenyekiti wa bodi sio kazi ya kiutendaji kwa hiyo Profesa anaweza kuendelea tu na nafasi yake NIMR bila shida yeyote. Tafico ni kwa kuvutia posho za vikao.

Amandla...
Taarifa inasema "alikuwa" maana yake hayupo tena hapo
 
Ikulu haitakiwi kutoa taarifa ambayo inachanganya... Haya ni mapungufu. Kama ametolewa NIMR wangesema hivyo waziwazi.
Haieleweki. Uenyekiti wa bodi sio kazi ya kiutendaji kwa hiyo Profesa anaweza kuendelea tu na nafasi yake NIMR bila shida yeyote. Tafico ni kwa kuvutia posho za vikao.

Amandla...
 
Lini tutakuwa na bodi yakuhakiki shule zinavyoo kabla ya wanafunzi kuwa mashuleni
 
Unaijua CV yake? Hapo alipo ndio sahihi zaidi

Ana PhD ya Marine Biology (Aquaculture), ana Masters ya Fisheries Biology and Management na ana Degree ya sayansi ya Zoology na Marine Biology
Mumwene
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…