Rais Samia Suluhu amemteua Rogatus Hussein Mativila kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS)
Ndugu Mativila anza kufuatilia barabara hii ya njia 8 kuanzia kimara mwisho hadi kibaha.
hii barabara ni ya hadhi ya kipekee ambayo ukiachilia mbali kuwa kiungo cha Uchumi wa Jiji la Dsm lkn pia imeboresha muonekano wa Jiji la Dsm.
sasa chonde chonde tusisahau kuweka taa za barabarani ili kuboresha kazi nzuri iliyo fanyika, naamini kazi kubwa imefanyika hatuwezi kushindwa kuweka taa za barabarani.
Maendeleo hayana chama.
Mungu Mbariki hayati JPM, Mungu mbariki Rais Samia.