Rais Samia Suluhu ashiriki katika kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru na kumbukizi ya miaka 22 ya kifo cha Mwalimu Nyerere

Rais Samia Suluhu ashiriki katika kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru na kumbukizi ya miaka 22 ya kifo cha Mwalimu Nyerere

Baraka Mina

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2020
Posts
586
Reaction score
590
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan akishiriki katika kilele cha mbio maalum za mwenge wa uhuru na kumbukizi ya miaka 22 ya kifo cha Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere katika uwanja wa Magufuli - Chato mkoani Geita leo tarehe 14 Oktoba 2021.

 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan akishiriki katika kilele cha mbio maalum za mwenge wa uhuru na kumbukizi ya miaka 22 ya kifo cha Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere katika uwanja wa Magufuli - Chato mkoani Geita leo tarehe 14 Oktoba 2021.


Of what use anyway?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan akishiriki katika kilele cha mbio maalum za mwenge wa uhuru na kumbukizi ya miaka 22 ya kifo cha Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere katika uwanja wa Magufuli - Chato mkoani Geita leo tarehe 14 Oktoba 2021.


Awape watanzania mzigo mwingine ....atangaze chato kuwa mkoa....
 
Viongozi wa ccm ikiwa hakuna camera hawavai barakoa, ikiwa hakuna hafla za kitaifa wanajikausha bila barakoa yaani nikuangalia nakuacha walivo
 
Uvaaji wa barakoa naona limebakia suala la shughuli za kitaifa tu. Jana nilimuona uutyubu mkuu wa mkoa wa DSM akiongea na wananchi kwenye msiba wa mtendaji wa serikali za mtaa aliye uliwa kinyama na wahalifu sikuona hii kitu inaitwa barakoa.
si wanataka IMF iwaone kuwa wanapambana na corona ili wapate fedha..., ngoja imnyakue Hangaya dipo watatia akili
 
Uvaaji wa barakoa naona limebakia suala la shughuli za kitaifa tu. Jana nilimuona uutyubu mkuu wa mkoa wa DSM akiongea na wananchi kwenye msiba wa mtendaji wa serikali za mtaa aliye uliwa kinyama na wahalifu sikuona hii kitu inaitwa barakoa.
Ndio uone kwamba...watu hawapo serious...ni porojo porojo tu...ukiwauliza watakwambia tumechanja...
 
Back
Top Bottom