Rais Samia Suluhu atunukiwa tuzo ya Utalii Barani Afrika

Kwahiyo kumbe ile Royal Tour yake ilikuwa ni Strategy tu ya Kuitafuta Kiulazima hiyo Tuzo?
Royal tour ni mkakati wa kuongeza idadi ya watalii nchini. Jambo hilo litapelekea mapato ya taifa letu kuongezeka na hatimae sote kunufaika.

Tumuunge mkono Mheshimiwa rais maana yeye ni miongoni mwetu.
 
Hili ni swala la muhimili mungine.. kwahiyo swala la Mbowe iulizwe mahakama.
Kwa kweli.

Tatizo la Watanzania wenzetu baadhi walio wachache ni kuwa na uelewa mdogo wa kutofautisha mambo. Suala la mhimili mwengine wanataka wauulize mhimili mwengine.

Ni muhimu Mama aungwe mkono kwani maendeleo ni yetu sote na hayana chama
 
Wanaombeza mama wanazidi kuaibika lissu,lemma, mbowe (gaidi) na magenge yaop yooote ni aibu kbwa sana kwao
Tuwaelimishe na kuwasihi wamuunge mkono Mama.

Mama anaupiga mwingi kwa faida ya Taifa letu pendwa la Tanzania.
 
Mungu ambariki sana Mheshimiwa rais Mama yetu Mama Samia Suluhu Hassan.
 
The African Tourism Board(ATB).....πŸ˜πŸ‘πŸ‘ŠπŸ’ͺ

ADUMU CHIFU MKUU HANGAYA aaamin aaaamin aaaamin πŸ™

ZIDUMU FIKRA SAHIHI ZA CHIFU WETU MKUU HANGAYA πŸ™
 
[emoji654][emoji654]HA HAH !!!

MFALME ANATAKA LA ! LA ! LAAAH!!

SADIKI NA CHITEMO.......

CHIPEKO NA MNOFU.....

IYAMBILA....
 
Kwa kweli.

Tatizo la Watanzania wenzetu baadhi walio wachache ni kuwa na uelewa mdogo wa kutofautisha mambo. Suala la mhimili mwengine wanataka wauulize mhimili mwengine.

Ni muhimu Mama aungwe mkono kwani maendeleo ni yetu sote na hayana chama
😍
 
Kwahiyo mkuu suala dogo hili unashindwa kuelewa.??? Kweli??

Unatumia nini kufikiria?? usiwe kama unakula matope badala ya chakula mkuu
Kuelewa au kuto kuelewa wote ni 'ufaulu.
Hakuna mjanja kati ya hawa wawili. (2-*2- = +?) Sababu hakuna mwenye hakika ktk hayo wanayojitahidi kuyasimamia.
Kitu pekee tunachohitajika kufanya ni kuzingatia msawaziko. na msawaziko salama unatokana pekee na upendo. ILA BINADAMU HANA JEMA!
 
Hili ni swala la muhimili mungine.. kwahiyo swala la Mbowe iulizwe mahakama.
Kwani ni mahakama iliyomkamatq Mbowe? Mbowe amebambikiziwa kesi na oolisi. Polisi wanapokea order tokakwa Rais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…