Rais Samia Suluhu awaapisha Mabalozi Ikulu. Asema Tozo za Miamala zitaendelea ila zitarekebishwa

Muache Togolani wa watu. Alikaa benchi miaka 6.
Hakuwa bench mzee, alikuwa bado anahudumu private office ya JK na analipwa na serikali kama kawaida pia bado ni mtumishi wa Foreign Affairs.

Kimsingi alimuepuka bwana yule kwake naona ilikuwa afadhali maana watuwa JK aliwatoa kwenye reli kabisa.
 
Bila shaka wapo wamekaribia kustaafu
Kwanini awateue kipindi hiki, ili waanze kula mishara ya bure wakisubiri waliopo wastaafu? Rubbish.

Inamaana nchi ina pesa nyingi zisizo na kazi hivyo ameamua kuzitafutia matumizi. Wote watahiji magari ya hadhi ya 'kibalozi', nyumba, mishahara na kila stahiki za wadhifa huo. Stupidity.

Ngoja twende naye hivyo hivyo kigagula wetu, labda ndiyo bado anaupiga mwingi(as if I know what the shit means).
 
Ahsante sana Rais wangu kwa msimamo THABITI kwa mwendo huu tutafika vizuri.

nadhani wanao pima kina cha maji kwa rula bado hawajui kina vizuri.

nafurahia sana makato haya yaendelee kama kawaida watazania wengi wanataka kero zao za maji, elimu, afya na miundombinu itatuliwe na sote tuko tayari kuchangia maendeleo yetu, marekebisho kidogo tu.

kazi iendeleee.

tulipe tozo kwa maendeleo yetu ss wenyewe.

Mungu ibariki Tanzania
 
Ahsante sana Rais wangu kwa msimamo THABITI kwa mwendo huu tutafika vizuri.
nadhani wanao pima kina cha maji kwa rula bado hawajui kina vizuri....
Tatizo wao wanalegeza mikanda sisi tunakaza.Matumizi mabaya ya Kodi zetu
 
Mama Ushungi anaupiga mwingi sana
 
Anakomalia Utalii wakati amekwishaleta hofu ya Corona nchini, anategemea watalii wa kutoka wapi?

Tatizo ni corona ktk nchi zinazoleta watalii Tz.

Utalii utakuja kukaa sawa mwaka 2023 kama dunia itaweza kuidhibiti corona.

Badala ya kukomaa na utalii tulipaswa kukomaa na kilimo, ufugaji, na uvuvi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…