Rais wa Matajiri
JF-Expert Member
- Sep 14, 2018
- 1,522
- 643
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah CHADEMA hamuishiwi nenoPhD magumashi
- Pengine
- Hana
- Degree
😀😀😀 amekusikiaAje na mfumo wake wa kiutawala sio lazma ateue watu wenye phD..
Najua wewe ndio vuvuzela lake awamu hii…😀😀😀 amekusikia
Profesa Chande no doubt kwenye taaluma yake. Huyu siyo kundi la Biteko Na Musukuma😅😅. Ni Profesa competent kabisa wa Analytical Chemistry has instrumentation; Idara ya Kemia; UDSM. Kwa Sasa ni mstaafu. Hongera sana Profesa Chande.PhD magumashi
- Pengine
- Hana
- Degree
Haya ni malalamiko ya watu au yako?Najua wewe ndio vuvuzela lake awamu hii…
Mfikishie salamu mwambie hali huku mtaani ni ngumu mno tozo kila mahali, biashara ya majenereta imetamalaki pia wananchi wanahoji kwanini awamu yake kuna mfumuko wa bei vitu vimepanda juu gharama za maisha zimekuwa juu mno…
Naona baada ya jina lako kukosekana Ubaoni unaamua kumwaga mboga, 🤣🤣🤣🤣Najua wewe ndio vuvuzela lake awamu hii…
Mfikishie salamu mwambie hali huku mtaani ni ngumu mno tozo kila mahali, biashara ya majenereta imetamalaki pia wananchi wanahoji kwanini awamu yake kuna mfumuko wa bei vitu vimepanda juu gharama za maisha zimekuwa juu mno…
Hivi nyie kasuku mnalipwq kiasi gani kumpamba mtu kwa sifa za uongoMama anaendelea kusuka jopo lake,
Tanzania kesho yetu ni bora sana ,
Tuendelee kumwombea Rais wetu,
#Kaziiendelee Tanzania na Samia
Tanzania Bureau of Standard (TBS) sio swala la muungano, Othman Chande Othman anatafuta nini?
Kazi njema kwao
Haya ni malalamiko ya watu au yako?
Nilini tumekuteua kuwa msemaji wetu?
Mfumuko wa Bei ni janga Dunia nzima Rais Samia anahusikaje?
Umeme wapi hakuna be specific mkuu