Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo WoteAsimsahau Dr. King Kasheku
🤣🤣🤣Dr Kasheku asisahaulike kwenye teuzi kama hizi tafadhali...........mzee wa wordwide free viza.
Morogoro haswa Kanda ya MvomeroHaya ni malalamiko ya watu au yako?
Nilini tumekuteua kuwa msemaji wetu?
Mfumuko wa Bei ni janga Dunia nzima Rais Samia anahusikaje?
Umeme wapi hakuna be specific mkuu
Now ni buku 10 karibu sana,Buku saba new edition 😎
Tupo Wote
Dr Joseph Kasheku Msukumu Alitakiwa Apate Teuzi
Nimecheka kwa sautiNaona baada ya jina lako kukosekana Ubaoni unaamua kumwaga mboga, 🤣🤣🤣🤣
Nzuri sanaMama anaendelea kusuka jopo lake,
Tanzania kesho yetu ni bora sana ,
Tuendelee kumwombea Rais wetu,
#Kaziiendelee Tanzania na Samia
Saa zingine akili za baadhi ya watanganyika zinashangaza na kuaibisha!! Tuliwahi kuwa na Mawaziri mwenye asili ya India na Ulaya hapakuwahi kuweko kelele za kibaguzi... Tukawa na Waziri mkenya ambaye hata muungano hayumo hakukuwa na kelele... Leo tukiamini watu wamepevuka na kukua kifikra kumbe ndo washamba na majuha kabisa!! Hakuna nchi inaendelea pasipo wageni au maarifa mapya tuwahukumu tusiowapenda kwa ufanisi au kuboronga kwao. Ubaguzi ni ujuha uliopitilizaTanzania Bureau of Standard (TBS) sio swala la muungano, Othman Chande Othman anatafuta nini?
Si akafanye kazi kwenye shilika la kwao Zanzibar, Zanzibar Bureau of Standards (ZBS)