Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi mwingine, PhD zatawala

Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi mwingine, PhD zatawala

Dr Kasheku asisahaulike kwenye teuzi kama hizi tafadhali...........mzee wa wordwide free viza.
 
Haya ni malalamiko ya watu au yako?

Nilini tumekuteua kuwa msemaji wetu?

Mfumuko wa Bei ni janga Dunia nzima Rais Samia anahusikaje?

Umeme wapi hakuna be specific mkuu
Morogoro haswa Kanda ya Mvomero
 
Happy Boxing Day kwa hisani ya Mhe Samia Suluhu Hassan
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
Tanzania Bureau of Standard (TBS) sio swala la muungano, Othman Chande Othman anatafuta nini?

Si akafanye kazi kwenye shilika la kwao Zanzibar, Zanzibar Bureau of Standards (ZBS)
Saa zingine akili za baadhi ya watanganyika zinashangaza na kuaibisha!! Tuliwahi kuwa na Mawaziri mwenye asili ya India na Ulaya hapakuwahi kuweko kelele za kibaguzi... Tukawa na Waziri mkenya ambaye hata muungano hayumo hakukuwa na kelele... Leo tukiamini watu wamepevuka na kukua kifikra kumbe ndo washamba na majuha kabisa!! Hakuna nchi inaendelea pasipo wageni au maarifa mapya tuwahukumu tusiowapenda kwa ufanisi au kuboronga kwao. Ubaguzi ni ujuha uliopitiliza
 
shiww2QUOTE="Bujibuji Simba Nyanaume, post: 41162588, member: 13443"]PhD magumashi
  • PengineWwwww
  • Hana
  • Degree
[/QUOTE]

22WwWwww
 
Back
Top Bottom