KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Huyo Mchembe (Mchamba) anabeba mzigo mzito sana kichwanini mwake.Mchembe Out. Ila Mama Samia naona alichukia sana Mchembe kuficha kifo cha Magufuli. Doto nae kaponea chupuchupu.
Nshasalitiwa kabisa. Yani cheo changu kipya nikikuambia utapagawa!Mmoja,Abel peke yake.
Ndo mimi sasa.Lakini mke wake mbona twamjua loh[emoji56]?
Una ushahidi wowote au ni kuropoka tu?Hujui Kama Ni mwizi alikuwa akitumika na mjomba wake kutoa pesa bila idhini ya bunge , Hayati kafa wakaiba bilioni 96 + 180 , task force ya TRA ikikuwa ikipora fedha kwenye akaunti za wafanyabiashara na zile za faini za DPP , Doto anazipeleka China kuficha kwa balozi Mbelwa Kariuki , bado mapesa watu waliyoporwa Bureau de change , Kama wewe ndio Doto juwa mambo yako yote yanajulikana .
Hivi ikulu na maemaji mkuu wa serikali wapi unasoma magazeti? Ikulu mpaka zitoke teuzi ndio unaongea. Hamna shughuli pale. Msigwa kapanda cheo.Mkurugenzi mkuu wa ikulu utaletewa baadaye. Huyo Gerson anaenda pale maelezo kusoma magazeti na tweets kisha ana retweet. Upo mchato wewe!
kweli mkuu warudi shule kwanzaAlikuwa hawajui makatibu wakuu waliokuwepo ndo maana amejiropokea tu,naomba shule zifunguliwe watoto wapungue humu!
Una uhakika na ulichokiandika au umesimuliwa? Au umechota maneno kutoka kwa nabii wenu gogoki?Mama anaweka huruma sana waiii... Huyo dotto angepigwa chini mazima kama bifu naiwe bifu!!
Alihusika kutoa mahela kujengajenga chato bila idhini ya bunge!!
Inasikitisha sana, Mchembe na GENGE lake wamesumbua maiti kwa takribani wiki mbili ndipo inatangazwa amefariki.Yani mtu kafa tarehe 7 tena ndani ya ikulu ya Dar wao wakakimbiza Makumbusho kwenda kufungia pump. Shubamitt! Msigwa naye kaonewa huruma tuu!
Magufuli alikuwa anamsikiliza sana Mchembe. Hata idea ya kupima mapapai Coronavirus ni Mchembe ndo aliitoa. Mchembe ndo alisababisha hadi Magufuli akadharau Corona. Mchembe alimwambia Magufuli Coronavirus ni mafua makali tu. Si hatari.Huyo Mchembe (Mchamba) anabeba mzigo mzito sana kichwani.
Kamsababishia kifo mtu aliyetakiwa kumpa ushauri makini.
Maisha yake yote atakuwa analijutia sana hili.
Chizi wewe! Unajua ziara za Rais ndani na nje ya nchi? Unafananisha na usemaji wa serikali ambao unadandia?Hivi ikulu na maemaji mkuu wa serikali wapi unasoma magazeti? Ikulu mpaka zitoke teuzi ndio unaongea. Hamna shughuli pale. Msigwa kapanda cheo.
Kula bia mkuu, huyo jamaa amekalishwa kwenye dole gumba! Hayumo!Kuna jamaa anaitwa Nyamhanga alikuwa TAMISEMI akitokea TANROAD simuoni jamani hebu nitafutieni kwenye list siamini nikazianze bia usiku huu
huyu Dotto James Mgosha tumpeni muda, Mama anatumia busara bado
Angalau 'comical' Abbas wa Magufuli kaondolewa hapo!Hapa Msigwa kapanda au kashuka..which is better
Tulia basi ulale! Yani unatoa siri za mwezi may 2020! Wanawake nyieMagufuli alikuwa anamsikiliza sana Mchembe. Hata idea ya kupima mapapai Coronavirus ni Mchembe ndo aliitoa. Mchembe ndo alisababisha hadi Magufuli akadharau Corona. Mchembe alimwambia Magufuli Coronavirus ni mafua makali tu. Si hatari.
Achana na lia lia fc wa gogokiNaona twitter critics wakigogo wamemcharukia kigogo kwa mtazamo wage juu ya teuzi hizi
Kama Dotto bado yupo, basi huyu Mama hayuko serious.
Maajabu gani ameyafanya Mkuu?Doto james amefanya ya maajabu huko alikkuwa hakupashwa kuwepo kwenye utumishi wa Umma. labda umemfichia aibu ya mtoto wa dada. Hii haikubaliki. hapa umechemsha sana.
Hataki wapi ni kwamba hana jipyaHataki tu kumsumbua Mama
Makubi amepata promotion. Soma vizuri.Mchembe na Makubi kwaheri. Ila naona kama Doto kaponea vile