Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya

Kuna tatizo kwani? Em teseme amechagua waislamu watupu wewe kama wewe utafaidika nini???
Wala waislam hawataki achague waislm watupu wanachotaka usawa haupingiki huu hata ukija na ngojera za sijui wapagani no no bongo asilimia ni waislam na wakristo wanahitaji hakisawa..
 
Naona hii ni saini ya mwisho ya ndugu Msigwa, kabla ya kwenda idara ya Maelezo
 
Makonda hayupo tena,nyota inazidi kufifia.
 
Tutapiga mark time sana kwa katiba hii mfumo huu uliojichokea.
Waliochabaki nacho raia "fulani mtu sana", "fulani jembe", "mkunaji amepata upele" "fulani kaula" na blah blah nyingine nyingi zisizo na kichwa wala miguu kwa miaka yote.
Nchi yetu tunahitaji kujenga taasisi siyo huu ujinga wa kila atakayekuja anatengeneza na kupanga watu wake, ni ngumu sana kuendelea na kupata maendeleo kama taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…