G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Akamvua hadi Ubalozi.Alphayo kidata karejeshwa TRA dah! JPM alimhenyesha sana jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akamvua hadi Ubalozi.Alphayo kidata karejeshwa TRA dah! JPM alimhenyesha sana jamaa
Abbas Katibu mkuu Wizara ya michezoAbasi kapuni
Hukutegemea nini mamaSikutegemea kabisa
Viwandani hukoMtoto wa dada vipi?
Ndungulile mwanzo niliona kama ni mtu kumbe ni yale yale tu, aliwezaje kwenda kupanga bei elekezi iwe Tshs 9 kwa mb 1TCRA kaliwa kichwa, Bado Ndugulile
Sikutegemea kumwona Doto pamoja na wateule wengii wa mwenda zake ambao walivurundaHukutegemea nini mama
Ya kunywa ndio usiseme, chumvi nayo hivyohivyo..Ukaguzi unafanyika Doto akiwa hayupo huyu mama huyu!.Mboga moto ugali moto mpaka maji ya kunawa nayo yanachemka.
Yupo palepale. Ila katolewa kwenye usemajiDokta Abas na Nyamhanga siwaoni
Yupo palepaleDr Hassan Abas kaliwa kichwa?
Hahahah kawaweka waislam wengi kiasiWakristo watupu! Samia ni takataka nyingine.
Huyo ni Kifutu wa hatariDitto James kapelekwa viwanda na biashara
We acha tu...ngoja kwanza nileweSikutegemea kumwona dotto pamoja na wateule wengii wa mwenda zake ambao waliburunda