Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Ataishi kwako mkuu. Hakutaka watu waheshimike tz. Alitumia unyonge wa watz kujiimarisha. Alitesa sana watu, Mungu akamchukua mapemaMchembe ni genius, hadi leo dunia inatembelea nyota yake. Alivyomshauri hayati ndiyo ukweli. Uingereza na umakini wake wamefikia hatua ya kusema NO MORE LOCK DOWN, LET US LIVE WITH IT.JPM kalala lakini falsafa yake na maono yake hakunaga. Mnajaribu kumchafua lakini ni swala la muda JPM ataishi daima
Toa ushahidi!Kwa wizi wa huyo jamaa alitakiwa asirudi kabisa...
Mama naona kachaguliwa watu yeye akasaini tu...Kama alivyo Mama nyumbani anapenda toto jinga ila naanza kupata wasiwasi na Mama Khaaayaaani uchumi wa mafuta na gesi unamuweka kada tena kinda kbs hana uzoefu labda iwe ni chochoro ya kupitisha deal za wakubwa
Mchembe kafyekwaOhoooo. Mchembe na Doto James wamepona?
Sijajua kwanini wamemuondoa wakati kajitahidi. Itabidi arudi viwanda na biashara alipokiwaEdwin P. Mhede amepelekwa wapi?Jamaa amepga kazi nzuri Sana pale TRA
Kweli kabisa Mkuu. Mvinyo ni ule ule tunabadilishiwa tu chupa na lable. Halafu tunashangilia eti kinywaji kipya[emoji41][emoji41]Watu wanazunguka tu walewale wanabadilishana tu vyeo na wizara.
SIJAJUA KWANINI WAMEMUONDOA WAKATI KAJITAHIDI..ITABIDI ARUDI VIWANDA NA BIASHARA ALIPOKIWAEdwin P. Mhede amepelekwa wapi?Jamaa amepga kazi nzuri Sana pale TRA
Tatizo lake ni lipi au kwa kuwa ni mtoto wa dada basi ni kosa?Mbona hata yeye kateua mkwe wake kuwa waziri wa utawala boraDoto James amefanya ya maajabu huko alikuwa hakupashwa kuwepo kwenye utumishi wa Umma labda umemfichia aibu ya mtoto wa dada. Hii haikubaliki, hapa umechemsha sana.
Hawa jamaa zetu bana tuwaache tuKwani kiongozi skies dini yako wewe unapata Nini? Na asipokuwa dini yako unakosa Nini?
Ni kweli kazi ni ngumu ila yule mama kapwaya mapema sana. Ndio maana kina Shiru walitaka kumchomoa. Walikuwa sahihi hawezi kituLeo ndiyo nimeamini kweli kazi ya Urais ni ngumu. Si ngoma ya lelemama hii
Eti cv yake haijakaa poaHivi ni kwanini huyu jamaa Mwesiga anaonekana kupata resistance sana kwenye nafasi alioteuliwa tatizo ni nini?
Mh RAIS Kamati yako inayokuletea Majina INAKUHUJUMU haiwezekani Shirika Kubwa kama TPDC likaongozwe na Mtu ambaye Hajawahi kuongoza Hata SACOOS ukizingatia Kuna Watendaji Ndani Ya Shirika Waliobobea kwenye mambo ya Mafuta Ktk Teuzi Mbovu ni pamoja na Huyo MteuleHivi ni kwanini huyu jamaa Mwesiga anaonekana kupata resistance sana kwenye nafasi alioteuliwa tatizo ni nini?
TATIZO NI KUWA TUNDU LISSU ALISEMA MTOTO WA DADA BASINimeuliza mara kibao lakini sipewi jibu!
Kila anaewekwa siye, mfano huyo Ummy mmeanza na masuali hata bado kuanza kazi mkaona hiyo performance yake itakuaje.Mama kwa kweli hata mie ananishangaza baadhi ya maeneo. Kama jafo inasemekana kaishindwa tamisemi unamuweka umi? Tamisemi sio corona
Lakini uzoefu unapatikana wapi ndugu zangu? si ni lazima mtu upate kazi ndipo uzoefu uje sasa kama hawamtaki mwenye uzoefu wanafikiri uzoefu unazaliwa nao?Eti cv yake haijakaa poa
Na hana uzoefu wa masuala hayo
Ova