LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Kapanda bwana, msemaji wa serikali nzimaKapanda au kashuka??
Ukishatoka state house ume drop
Mkuu Boss, hivi wasifu wa kitaaluma, kiustadi, weledi utaalamu na kiutendaji kwa wateule wa Rais aliyepita ulitusaidia nini kama taifa? Alitujazia maprofesa na madokta kibao ktk teuzi zake lakini walishindwa kabisa kumshauri vyema.Kama Kweli Rais kaingizwa mkenge Kwa kuteua mtu aside sahihi kuwa Mkurugenzi
TPDC na kumtoa Anaefaa basi
Nashauri Rais atazame timu yake inayomletea majina... ikiwezekana aifukuze baadhi au awabadilishe wote
Your wish has been realised, haya nenda kamahukuru Mungu wako kwa hilo
Hapana, kawekwa kadaKarudishwa aliekuwepo!
Karudishwa Mkuu, yamefanyika mabadiliko muda si mrefu, mcheki Gerson Msigwa!Hapana, kawekwa kada
Ngoja akapambane na Yanga na Simba alishafungia sana magazetiNi katibu mkuu wizara ya habari sanaa na michezo
Umeshikiwa akili wewe ndio maana.Nimesoma comments as wachangiaji, inaonekana Dotto James ni mtu hafai kabisa.
alikalia haki za watumishi wa umma, madai yao ya malimbikizo n.k, inaonekana hakufaa kabisa kurudishwa ktk nafasi ya ukatibu,
Unaota ndotoDr. Abbas na Doto James nje.
Hapa wasimpenda mama wanashangilia, kaonyesha udhaifu sanaUtenguzi tayari!View attachment 1743825
Ameendelea kuwepo
Mama basi anaburuzwa. Na hana msimamo.
Acheni udini jamani.Anaogopa waraka wa kila weekend
😂 😂Kumekucha kumekuchaaaa. Chato empire mtaambia nini watu?
Comment yako in like kama zote, ndo ujue wabongo sis wanafiki kishenzi...hata mi nmelike"...zamani nilikuwa nadhani mtu akiwahi kuleta uzi jf analipwa...." JF member,
Mi nadhani washauri wake sometimes wanamwingiza chaka mama wa watu!Hapa wasimpenda mama wanashangilia,kaonyesha udhaifu sana
Nimesoma na huyo jamaa UDOM kiukweli hafiti kabisa kwenye hiyo nafasi.Tpa sina shida jamaa anajiweza shida ni tpdc
Mama anayumbishwa sana haiwezekani apelekewe majina naye asaini tu, kuna shida mahali kwenye recruitment team yake...Mama basi anaburuzwa. Na hana msimamo.