Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya

Amtafutie UDas utamfaa zaidi apambane huko kwanza TPDC ni kampuni kubwa yenye kubebba interest za nchi sio nafasi za ukada....jamaa anaenda kupambana na kampuni kubwa kama TOTAL, EXXON, BP , SHELL ambayo yameniaamarusha.
Hata DAS ni nafasi kubwa kwake, labda akasaidie huko kwenye utendaji kata.
 
Comment yako in like kama zote .ndo ujue wabongo sis wanafk kishenz...hata mi nmelike
Mkuu nilicomment hivi baada ya mleta nada kuleta habari mapema Sana bila kiambatanisho....baadae sijuhi ni mods waliweka attachment ya barua ya Ikulu!....nafurahi nimekula likes za kutosha tu, hahahaha 🤣
 
Doto James amefanya ya maajabu huko alikuwa hakupashwa kuwepo kwenye utumishi wa Umma labda umemfichia aibu ya mtoto wa dada. Hii haikubaliki, hapa umechemsha sana.
Tatizo mnafuata matango pori ya kigogo na kuyaleta kwenye uhalisia
 
Kama watu waliona Magufuli kamteua kwa sababu ya undugu wao. Sasa Mama Samia kumrudisha inaonyesha alipewa kwa sababu ya UWEZO wake na sio undugu la sivyo kama angekuwa hana sifa angewekwa benchi!!
Kwanza atoke Fedha, huko Viwanda Biashara hakuna issue ni kelele tu
 
Kwa wizi wa huyo jamaa alitakiwa asirudi kabisa...
Acha kutumia hisia na kumuahiribia mwenzako heshima yake. Kama una ushahidi uweke hapa.
Kumchukia MTU hakukuongezei chochote.
 
Kwani Erick Hamis amesoma nini baada ya degree ya kwanza? Najua degree yake ya kwanza ni Sociology ila huenda alijiendeleza na degree nyingine maana amekuwa pia banker na insurer kwa muda kabla ya mambo ya usafiri wa majini.
Nilikuwa sijacheki, huyu alikuwa ndio boss wa Shirika la Marine Service Company Limited (MSCL).

Kule amefanya vizuri Sana sina shaka naye, namuombea afanye vyema zaidi na kupaisha mamlaka ya bandari.
Aje na sera za kufanya bandari kuwa productivity zaidi, mipango ya kujenga bandari ya meli za uvuvi Bagamoyo na aboreshe mazingira ya kazi.

Jamaa akaze Kuwa DG wa TPA nchi kama 6 macho yote kwake, ma tycoon wote wa biashara watakuwa karibu naye. Pesa za kwenye shati la mfuko nje nje.
Kila la kheri Eric Benedict
 
Mkurugenzi wa TASAC aliyepita alisahau alikotokea. Mwanzo alikuwa kwenye makampuni binafsi ya shipping alipopata nafasi hakuwa mtetezi wa kampuni binafsi akabariki mpango wa TASAC kufanya kazi za kuwa regulatory mpaka kufanya kazi zilizokuwa zikifanyika na kampuni binafsi.

Na alikuwa anataka shughuli zote wafanye wao anguko kubwa limetokea kwa kampuni binafsi, alitaka serikali ifanye biashara wakati kampuni nyingi zilikuwa zikilipa kodi na ajira za direct na indirect zilikuwa nyingi.
 
Halafu humu mkumbuke kuna wengine wana ndugu zao 2alio kwenye nyadhifa
 
DG wa sasa TASAC katoka hapo hapo, anajua madhaifu ya mwenzake aliyepita. Yeye anajua fikra kwenye biashara ya meli duniani, hakuna nchi ambayo serikali ni ship agency na inafanya clearing and fowarding agent. Serikali inabidi iwe regulatory wa hizo kazi.

Sasa yeye ni mtaalamu wa Clearing and Fowarding. Akirudisha utaratibu wa kazi za kampuni binafsi za C&F agent, Ship Agency na Tally atakuwa amesaidia kuongezeka kwa ajira na tax base kutoka kwenye kampuni zinazofanya kazi hizo.
 
Ollotu vitu vingine kama huvijui kwanini usikae kimya? Sio lazima ujibu. Mama keshampangia Wizara ya Viwanda na Biashara patamfaa lakini tusubiri

Wenzako mpaka a/c za nje wamezisema hapa, bado sisi tupo na madereva wa malori yaendayo Rwanda yakitokea Dar na Kiwira
kwanini tusikae kimya Mama afanye yake, uidhinishaji wa pesa wewe huujui iwe kwa idhini ya Bunge au BOT.
Ni Katibu yupi alishawahi idhinisha Trillion badala ya Rais au Waziri Mkuu sembuse Waziri wa Fedha nioneshe kwanza ndipo tuendelee kama hakuna kaa kimya
 
Heshimu maamuzi yangu tafadhal shubbbbbbat zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…