dindilichuma
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 1,736
- 2,699
Kabaki Katibu mkuu Wizara ya habari, alikua anafanya kazi zote mbili ya usemaji na Ukatibu mkuu wa Wizara wakati ilikua ikisubiriwa mteuliwa wa kuwa Msemaji wa SerikaliDr Hassan Abas kaliwa kichwa?
Kapandishwa cheo!Kanyang'anywa tonge la mkono wa kulia.
Kaachiwa la mkono wa kushoto(kapata muda wa kutosha kuchambana na akina Manara)
Tatizo la Doto ni lipi?Kama Dotto bado yupo, basi huyu Mama hayuko serious.
Chuki kwa watu wao wasiowapenda kupigwa chini sasa wanaamisha ajenda kuhamia kwenye dini sasa.Kuna tatizo kwani? Em teseme amechagua waislamu watupu wewe kama wewe utafaidika nini???
Kwa hiyo nitoke baa hahaHaitasaidia, bora tu ulale upumzike
Ya kunywa ndio usiseme, chumvi nayo hivyohivyo..Ukaguzi unafanyika Dotto akiwa hayupo huyu mama huyu!.
Tatizo la Doto ni lipi?
YupoDr Hassan Abas kaliwa kichwa?
Yupo, kawa KM tuDr Hassan Abas kaliwa kichwa?
Kwanini watu wanashangaa Doto kurudi kuwa Katibu mkuu wa Wizara?Waliomwambia Rais amfukuze dotto James mlale unono
Sio kwamba namkubali jamaa ila nazikubali strategies za Rais SSH
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote [emoji7][emoji1241][emoji123]
Rest well our hero President John Pombe Magufuli [emoji885]
Bi mkubwa Hana sikukuu kwani...Mbona ameteua muda watu woote wamelala kma tulivyo tangaziwa msiba saa 5 usiku, wakati tukio lilikuwa saa 12 jioni...just kidding.
Waliomwambia Rais amfukuze dotto James mlale unono
Sio kwamba namkubali jamaa ila nazikubali strategies za Rais SSH
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote [emoji7][emoji1241][emoji123]
Rest well our hero President John Pombe Magufuli [emoji885]