Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya

Wewe,,,sio walale unono,sema hawatalala leo kwa husda na chuki zao bila sababu.
Wasiowapenda wote bado wapo kwenye ajira zao.
 
Soma vizuri Abel Makubi yupo, ila michembe kwa heri.
 
Najua ni mahitaji ya lazima ya sasa ila naona kama NCHI, tunatumia muda mwingi kuteua, kuapisha na kujadili nyazifa za wanasiasa na watendaji wa serikali. Haya mambo ukiyatafakari sana utagundua hayatuongezei tija kihivyo na yanatupotezea muda na kutuingiza gharama nyingi zisizo na maana sana.

Ila huo ni mtazamo wangu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…