Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya

Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya

Vichwa ngumu wanaendelea kusambaratika....
Anyway Pole kwa waliochwa na karibuni kwenye ujasiri na Mali.

Ndio maana wateuliwa huwa wanapigana kufa na kupona kumtetea mteuaji ili waendelee kula shushu ,wanajua akiondoka tu na wao ulaji unakwisha ,ndio maana mikelele ilikuwa kibao mitano tena mara tumuongezee muda na bla bla kibao.

Chris Lukosi sasa amesema anaacha siasa baada ya JPM kufariki ,kila siku alikuwa anapayuka kusifia serikali ya MAGU watu wakamshauri afungue page nyingine ndio iwe ya kumsifu MEKO na sio ile yake ambayo anayotumia kuuzia "SKREPA" lakini alikuwa mbishi sana...Watu wamemchana kwamba anaacha siasa kwasababu alikuwa anamsifia MAGU lengo lilikuwa uteuzi lakini yeye Chris akajitetea kwamba hana haja ya uteuzi kwa sababu yeye mwenyewe yupo vizuri sana kiuchumi.
 
Hujui Kama Ni mwizi alikuwa akitumika na mjomba wake kutoa pesa bila idhini ya bunge , Hayati kafa wakaiba bilioni 96 + 180 , task force ya TRA ikikuwa ikipora fedha kwenye akaunti za wafanyabiashara na zile za faini za DPP , Doto anazipeleka China kuficha kwa balozi Mbelwa Kariuki , bado mapesa watu waliyoporwa Bureau de change , Kama wewe ndio Doto juwa mambo yako yote yanajulikana .
Hizi taarifa ulizipata wapi? Nani alikwambia? Tueleze na sisi tujue Mkuu?
 
Chizi wewe! Unajua ziara za Rais ndani na nje ya nchi? Unafananisha na usemaji wa serikali ambao unadandia?
Sasa wewe ndio chizi kweli kweli..afadhali ungekaa kimya ungeficha ujinga wako. inaonekana hujui maana ya msemaji wa ikulu, usichanganye mambo. Msemaji wa ikulu sio msemaji wa rais.... kuna siku gerson msigwa umewahi maikua anaongelea ishu za rais zilizo nje ya ikulu? Ataongea kama wageni wako ikulu sio nje ya ikulu..
Serikali iko bize kila siku alafu unathubutu kusema msemaji wake hana cha kusema...ebooh
 
Magufuli alikuwa anamsikiliza sana Mchembe. Hata idea ya kupima mapapai Coronavirus ni Mchembe ndo aliitoa. Mchembe ndo alisababisha hadi Magufuli akadharau Corona. Mchembe alimwambia Magufuli Coronavirus ni mafua makali tu. Si hatari.
Huyu amechangia mweshikiwa kutangulia mbele za haki aisee, mzee anajua moyo una battery anajiachia tu na raia, wakati huku mtaani kuanzia January watu walipuputika sana
 
Sasa wewe ndio chizi kweli kweli..afadhali ungekaa kimya ungeficha ujinga wako. inaonekana hujui maana ya msemaji wa ikulu, usichanganye mambo. Msemaji wa ikulu sio msemaji wa rais.... kuna siku gerson msigwa umewahi maikua anaongelea ishu za rais zilizo nje ya ikulu? Ataongea kama wageni wako ikulu sio nje ya ilulu.
Msemaji wa ikulu ni mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais. Hutaki unaacha!
 
Hivi ni kitu gani kinafanya bandari zetu zisifanywe Freeport kama dubai ili tuingie uchumi wa kwanza mapema?
 
Jamani kuhusu suala la Dotto kuchota fedha bila idhini ya bunge ni kwamba nyie hamjui kuwa bunge halihusiki na utolewaji wa fedha hazina , Bali mtendaji mkuu ambaye ni KM na watendaji wake hata waziri wa fedha sijui Kama Kuna pahali anasaini. Kinachofanyika bunge linaidhinisha bajeti kuu Mara moja tu mpaka msimu uieshe , Sasa ikishahizinisha Kuna kitu wanaita reallocation yaani kubadilishiwa matumizi fedha zilizoizinishwa na hapa bunge huwa halihusiki Bali lazma sheria ifuate.sasa inawezekana hata Kama bunge halikupitisha pesa za chato lakini walipitisha pesa zilizoamishwa kwenda chato, pia hazina na not ni taasis kubwa hakuna mtu anaweza chota pesa kirahisi mana Kuna signatories wengi, akiondoka Dotto basi hata watumishi wengi bot watasepa, etc
Sema wakati wa mzee zilifanyika reallocation nyingi Sana za bajeti basi
 
Back
Top Bottom