Rais Samia Suluhu Hassan akutana na Watendaji wa Wizara ya Fedha na Mipango, Uwekezaji, Viwanda na Biashara, TRA, na Katibu Mkuu Kiongozi.
Rais Samia Suluhu anahakikisha anatimiza lengo lake la kuwainua wafanyabiashara wa Tanzania kiuchumi na sio kuwadidimiza
Hongera sana Mama kwa kuwajali watanzania hatua hii ni kubwa sana kutokana na mgomo ule wa kariakoo naona Rais Smaia Suluhu ameamua kulibeba hilo suala yeye mweneyewe safi sana tutarajie mambo mazuri
Rais Samia Suluhu anahakikisha anatimiza lengo lake la kuwainua wafanyabiashara wa Tanzania kiuchumi na sio kuwadidimiza
Hongera sana Mama kwa kuwajali watanzania hatua hii ni kubwa sana kutokana na mgomo ule wa kariakoo naona Rais Smaia Suluhu ameamua kulibeba hilo suala yeye mweneyewe safi sana tutarajie mambo mazuri