Rais Samia Suluhu Hassan ameanza mchezo vizuri sana

Rais Samia Suluhu Hassan ameanza mchezo vizuri sana

Mangisandy

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2012
Posts
2,652
Reaction score
2,273
Baraza ni lile lile, CCM ni ile ile, na hata wengine wanasema Mama Samia, ni wale wale! Lakini still ni early days.

Nafikiri Mama anahitaji muda wa ku-settle kwenye kile kiti, na taratiiibu atajenga system yake! Baada ya siku 100 ofisini, mama atakua mwenyekiti wa chama tayari, atakua amewapa watu fursa wameshindwa wenyewe.

Siku 100, mark my words, sumukuvu zitachujwa moja baada ya nyingine, sura mpya zitaingia moja moja! Kwa hakika Samia ana uwezo mkubwa kuliko nilivyo m-underrate! Wengi, Kigogo na wengine, wanataka mama akurupuke na kubomoa bomoa, lakini naona mama anatumia hekima kubwa sana.

Kwa sasa, namwombea Mama Samia Suluhu Hasan, na serikali yake! Mungu Ibariki Tanzania, Mungu mbariki SSH.

Update:
Mazaa analisongesha game! Sabaya out, hureee! Mamaaa maamaaa, Maaaaamaaa, Mama huyu!!! Mungu endelea kumbariki mh. Raisi SSH!
 
Naunga mkono hoja ni kweli Ameanza game vizuri kwanza kwa kutoa Waliokuwa Wanatugawa kwa kuwaweka pembeni kwanza sehemu ambazo Hawatasikika sana hasa wenye kauli za Kibeberu,Watanzania Wanyonge na Maskini na Wataalamu wa kusifu na kuabudu ni alert kwamba Mheshimiwa hapendi sifa na mihemko
 
Kubadilisha mawaziri huwa siyo issue kabisa kwani bado atapata mawaziri kutoka kule kule CCM. Ishu ni kuwasimamia bila woga wala aibu kama ambavyo Magufuli alivyokuwa- hadi hata Mama Samia mwenyekwe aliwahi kukiri kuwa Magufuli aliwanyoosha- hata Mama Samia Suluhu naye alivyooka wakati wa Magufuli! Sasa na yeye ni wajibu wake, inabidi awanyooshe hao mawaziri kwanza, hata kama atatumia mawaziri wale wale mradi awanyooshe kwanza. magufuli alikuwa ni no-nosense man, Samia anatakiwa pia kuwa ni no-nosense woma; nchi yetu haiendelei kwa kubadilisha mawaziri inaendelea kwa mawazir walioko kufanya kazi kweli.
1617238239979.png
 
Ana lengo zuri, tatizo timu inayomzunguka ni chafu hasa AG, badala ya kumshauri kuunda Baraza kwa mujibu wa katiba kamshauri vibaya.Kwangu binafsi kiongozi anayevunja kiapo chake Sina Cha kumsaidia.Hivi inachukua gharama gani mama angemteua pm na kuunda Baraza? Kwangu naona Kama hujuma vile anatengenezewa na wabaya wake ndani ya serikali au chamani.Target ni mchuano wa 2025
 
Kubadilisha mawaziri huwa siyo issue kabisa kwani bado atapata mawaziri kutoka kule kule CCM. Ishu ni kuwasimamia bila woga wala aibu kama ambavyo Magufuli alivyokuwa- hadi hata Mama Samia mwenyekwe aliwahi kukiri kuwa Magufuli aliwanyoosha- hata Mama Samia Suluhu naye alivyooka wakati wa Magufuli! Sasa na yeye ni wajibu wake, inabidi awanyooshe hao mawaziri kwanza, hata kama atatumia mawaziri wale wale mradi awanyooshe kwanza. magufuli alikuwa ni no-nosense man, Samia anatakiwa pia kuwa ni no-nosense woma; nchi yetu haiendelei kwa kubadilisha mawaziri inaendelea kwa mawazir walioko kufanya kazi kweli.
View attachment 1739977
Kwa kutumia walewale wa Jpm atawanyoshaje?
 
Ana lengo zuri, tatizo timu inayomzunguka ni chafu hasa AG, badala ya kumshauri kuunda Baraza kwa mujibu wa katiba kamshauri vibaya.Kwangu binafsi kiongozi anayevunja kiapo chake Sina Cha kumsaidia.Hivi inachukua gharama gani mama angemteua pm na kuunda Baraza? Kwangu naona Kama hujuma vile anatengenezewa na wabaya wake ndani ya serikali au chamani.Target ni mchuano wa 2025
Kikatiba hajashauriwa vibaya; mtu kama wewe huenda ndiye unayeweza kumshauri vibaya kwa kuamini kuwa serikali ya siyo taasisi ila ni mali ya rais, hivyo rais akifa basi kunakuwa hakuna serikali tena. Siyo hivyo, serikali ni taasisi ambayo ipo kikatiba na inaongozwa na rais akisaidiwa na makamu wake, rais asipokuwepo makamu anaiongoza. Watu wasiojua katiba kama wewe ndio mnaodai kuwa mawaziri waliapa kwa rais mwingine na kusahau kuwa waliapa kwa rais aliyekuwa mkuu wa serikali kikatiba. Mnaifanya serikali kama ufalme vile kuwa mfalme akifa basi himaya yake yote haipo, na utawala unaanza zero tena; himaya za kifalme ndizo zilizokuwa zinaasbabaisha ndugu kuuwana kusudi warithi ufalme. Tanzania haiongozwi kifalme, kwa hiyo kifo cha kiongozi siyo kifo cha serikali!
 
Mama Anacheza game kwa umakini sana,anajua hawezi Watema MATAGA kwa sasa,anawahitaji kupanga safu yake,along the way,mchele na pumba utajitenga tu

Hata hawa activists wa mitandaoni ameanza nao vizuri,full kuwapiga chenga,Kuna msemo mmoja niliusikia Aliutoa Jk Juzi Kati kwenye mazishi naona ndio unafanya kazi sasa,MSICHEZE NGOMA YA ADUI,Mpaka Msigwa kapigwa chenga Jana.

Kwa kifupi Ana washauri wazuri,teuzi zilizofanyika sasa ni kujitoa lawama,ila anajua alichofanya,ndio maana mwisho Alitoa angalizo..
Report ya TAKUKURU Ikitoka,itabeba wengine,anakutoa ofisini kwa ushahidi,inaonekana anaanza kuzipa taasisi meno kama ataendelea hivi

Itamlazimu,nasema tena,Itamlazimu Kuheshimu KATIBA Sababu namna ya alivyopata Urais wake kuna watu Wamesimamia na kuheshimu Misingi hiyo ya KATIBA,Pasi na Shaka hili ni deni Kubwa sana alilonalo..

KERO ZA MUUNGANO Ameishaanza kuzivalia njuga Kabla hata hajaanza,Ni mzanzibari,kwa teuzi alizofanya tutegemee mabadiliko mengi kwenye muungano,rejea Maagizo aliyotoa kwa Waziri wa fedha..

Kwa kifupi huyu Mama KATIBA ataitendea haki,kwa mawazo yangu,ni kitu kiko kichwani mwake kabisa,rejea slip tongue aliyoifanya jana katika teuzi za Baraza la mawaziri..

Niwatakie siku njema...
 
Kikatiba hajashauriwa vibaya; mtu kama wewe huenda ndiye unayeweza kumshauri vibaya kwa kuamini kuwa serikali ya siyo taasisi ila ni mali ya rais, hivyo rais akifa basi kunakuwa hakuna serikali tena. Siyo hivyo, serikali ni taasisi ambayo ipo kikatiba na inaongozwa na rais akisadiwa na makamu wake, rais asipokuwepo makamu anaiongoza. Watu wasiojua katiba kama wewe ndio mnaodai kuwa mawaziri waliapa kwa rais mwingine na kusahahu kuwa waliapa kwa rais aliyekuwa mkuu wa serikali kikatiba. Mnaifanya serikali kama ufalme vile kuwa mfalme akifa basi himaya yake yote haipo, na utawala unaanza zero tena; himaya za kifalme ndizo ziliziokuwa zinaasbabaisha ndugu kuuwana kusudi warithi ufalme. Tanzania haiongozwei kifalme, kwa hiyo kifo cha kiongozi siyo kifo cha serikali!
Mkuu waliotengeneza katiba walikuwa na maana kubwa....muda unavyokwenda tutajua.Rais Samia kwa Lile alilolifanya Jana kaivunja katiba aliyoapa kuilinda.Nikipata muda hapa nitaweka vifungu.Lazima spade iitwe hivo.
 
Kuhusu katiba Kuna utata hasa ule uteuzi wa Jana...mama Yuko vizuri tatizo wanaomzunguka
 
Mkuu waliotengeneza katiba walikuwa na maana kubwa....muda unavyokwenda tutajua.Rais Samia kwa Lile alilolifanya Jana kaivunja katiba aliyoapa kuilinda.Nikipata muda hapa nitaweka vifungu.Lazima spade iitwe hivo.
katiba yetu hii ina miaka michache sana kiumri, tena waandishi wake ni akina Andrew Chenge ambao bado wapo! Isome vizuri, halafu ukiweza umwulize Chegnee akuarifu walikuwa na maana gani kwenye vifungu hivyo vya katiba. katiba hii ni kati ya katiba nyepesi sana kuelewa, yaani usipoielewa kwa kuisoma basi ni vigumu kuilewa tena
 
katiba yetu hii ina miaka michache sana kiumri, tena waandishi wake ni akina Andrew Chenge ambao bado wapo! Isome vizuri, halafu ukiweza umwulize Chegnee akuarifu walikuwa na maana gani kwenye vifungu hivyo vya katiba. katiba hii ni kati ya katiba nyepesi sana kuelewa, yaani usipoielewa kwa kuisoma basi ni vigumu kuilewa tena

Screenshot_20210401-044015.png
 
Utata upi mkuu??,alichokifanya jana ni Kama kutimiza lengo la kuvunja Baraza la mawaziri technically speaking..
No, alipaswa kuanza na waziri mkuu, Sijajua shida inakuwa Nini kwa viongozi wetu kufuata katiba.Mbaya zaidi mwanasheria mkuu yupo...
 
Back
Top Bottom