Rais Samia Suluhu Hassan amekuja kuizika kabisa CHADEMA

Nyie machawa acheni kunajisi taaluma, si Dr bali ni mama Samia
 
Mataga bana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ cjui akili zenu ni nan aliezichukua!! Mlishangilia san awamu ya tano mkubwa aliposema... Mpaka kufikia mwaka 2020 atakua ameiua CDM but wote tunajua how karma works well!! NB CDM ikifa c ndo furaha zaid kwenu!!
 
Kwakweli ni vichekesho tu. Anafikiri watu wote ni mbuzimbuzi. Washukuru sana uwepo wa katiba yenye kuwabeba
 

Mara CHADEMA ilishakufa , Mara mama Samiah kaja kuifuta. Tubebe lipi?
 
Hayo machawa hayajitambui mkuu, kwani kazi ya vyombo vya dola nin nini kama sio kukamata na kuwafikisha wahalifu katika vyombo vya dola? Hata mpumbavu asiye na akili anajua kuwa tukio la Lisu lilifanywa maagizo ya jiwe na ndio maana hata kamati ya ulinzi na usalama ya bunge ilizuiwa kutoa ripoti yake ili kuficha ukweli
 
JInga kbs hilo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…