Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huyu mama ataanza pressure soon maana ni madudu kila konaWatumishi wake walidai ni vionline tv tu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mama ataanza pressure soon maana ni madudu kila konaWatumishi wake walidai ni vionline tv tu,
Sema naunga mkono kauli ya hayati kuwa hii nchi ni TAJIRI ...Huyu mama ataanza pressure soon maana ni madudu kila kona
Lakini inaliwa na wachache snSema naunga mkono kauli ya hayati kuwa hii nchi ni TAJIRI ...
Japo nilikuwa naamini yawezekana wapigaji awamu ya tano hawakuwepo kumbe wapo wanapiga parefuLakini inaliwa na wachache sn
Walimsoma mzee na kugundua kumbe ana weaknesses nyingi na anabana sehemu zingine afu kwingine anajisahau anaachia LOOPHOLES so wahuni wakawa wanazitumia hizo hizo tundu kupiga mpunga mkubwa mkubwa huku wakimzoom Mr Misifa anavyojitapa, nayeye alikua ana watu wake wanapiga mpunga afu wanamletea hesabu tu huku anazubalisha wanyonge wake na miradi..Japo nilikuwa naamini yawezekana wapigaji awamu ya tano hawakuwepo kumbe wapo wanapiga parefu
Walimsoma mzee na kugundua kumbe ana weaknesses nyingi na anabana sehemu zingine afu kwingine anajisahau anaachia LOOPHOLES so wahuni wakawa wanazitumia hizo hizo tundu kupiga mpunga mkubwa mkubwa huku wakimzoom Mr Misifa anavyojitapa..
Ndiyo maana wakajiwekea kinga ya kutoshitakiwaJapo nilikuwa naamini yawezekana wapigaji awamu ya tano hawakuwepo kumbe wapo wanapiga parefu
Changamoto kubwaNdiyo maana wakajiwekea kinga ya kutoshitakiwa
Wapumbavu sn hawaChangamoto kubwa
Kuna watu hawakumuelewa mama katika hili wanadhani kwenye mbuga hakuwezi kuwa na project nyingine, kunaweza fanyika ikiwa EIA itafanyika vizuri.Mkuu kasema opportunity cost ndio muhimu.... Unapima hasara na faida. Coz unaweza hata compensate kwa kutenga au kupanua hifadhi upande mwingine na ukapunguza upande mwingine.
More so uchimbaji sio permanent inaweza kuwa miaka 100 basi... So haiwezi leta permanent damage kwa ecosystem... At least kwa kijieneo utakapochimba.