Rais Samia Suluhu Hassan Je, umeruhusu Wachina waje Tanzania kutuuzia Yeboyebo na Masufuria mitaani?

Rais Samia Suluhu Hassan Je, umeruhusu Wachina waje Tanzania kutuuzia Yeboyebo na Masufuria mitaani?

Rozela

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
845
Reaction score
2,235
Habari za hapo mjengoni Mheshimiwa, mimi nashukuru Mungu kwa kunipatia afya njema.

Mheshimiwa hawa wachina waliozagaa mjini ni wewe ndiye uliye ruhusu waje kutuuzia yeboyebo, kutembeza matunda na kutuuzia vyombo vya jikoni?

Mheshimiwa Rais inamaana hakuna raia wako wanaomudu hizi kazi mpaka idara yako ya uhamiaji inaruhusu wachina kuja kufanya?

Tunapo elekea tutaanza kuona wachina wanaenda mstuni kukata mkaa.

Je hii ndiyo kile tunachoambiwa nchi imefunguka? Kwa maoni yangu kama hii ndiyo dhana ya kufungua nchi ni bora ingeendelea kufungwa tu.

Asante mheshimiwa, hivi naweza kuja hapo kupata maji baridi na kupunga upepo hapo magogoni?
 
Habari za hapo mjengoni Mheshimiwa, mimi nashukuru Mungu kwa kunipatia afya njema.

Mheshimiwa hawa wachina waliozagaa mjini ni wewe ndiye uliye ruhusu waje kutuuzia yeboyebo, kutembeza matunda na kutuuzia vyombo vya jikoni?

Mheshimiwa Rais inamaana hakuna raia wako wanaomudu hizi kazi mpaka idara yako ya uhamiaji inaruhusu wachina kuja kufanya?

Tunapo elekea tutaanza kuona wachina wanaenda mstuni kukata mkaa.

Je hii ndiyo kile tunachoambiwa nchi imefunguka? Kwa maoni yangu kama hii ndiyo dhana ya kufungua nchi ni bora ingeendelea kufungwa tu.

Asante mheshimiwa, hivi naweza kuja hapo kupata maji baridi na kupunga upepo hapo magogoni?
Kati ya hizo kazi ulizozitaja ipi wewe unayoifanya!?
 
Habari za hapo mjengoni Mheshimiwa, mimi nashukuru Mungu kwa kunipatia afya njema.

Mheshimiwa hawa wachina waliozagaa mjini ni wewe ndiye uliye ruhusu waje kutuuzia yeboyebo, kutembeza matunda na kutuuzia vyombo vya jikoni?

Mheshimiwa Rais inamaana hakuna raia wako wanaomudu hizi kazi mpaka idara yako ya uhamiaji inaruhusu wachina kuja kufanya?

Tunapo elekea tutaanza kuona wachina wanaenda mstuni kukata mkaa.

Je hii ndiyo kile tunachoambiwa nchi imefunguka? Kwa maoni yangu kama hii ndiyo dhana ya kufungua nchi ni bora ingeendelea kufungwa tu.

Asante mheshimiwa, hivi naweza kuja hapo kupata maji baridi na kupunga upepo hapo magogoni?
si mmeambiwa muende veta au sio nyinyi..
 
Unayemuuliza ye mwenyewe haelewi chochote, yupoyupo tuu!
Wanufaika wachache wanakuambia anaupiga mwingi!
nchi inawatawala ambao hawajafunguka na muda ila wao wanajiona wapo kwenye muda na ndio maana machawa mengi serikalini kuliko watu wenye professional zao
 
Habari za hapo mjengoni Mheshimiwa, mimi nashukuru Mungu kwa kunipatia afya njema.

Mheshimiwa hawa wachina waliozagaa mjini ni wewe ndiye uliye ruhusu waje kutuuzia yeboyebo, kutembeza matunda na kutuuzia vyombo vya jikoni?

Mheshimiwa Rais inamaana hakuna raia wako wanaomudu hizi kazi mpaka idara yako ya uhamiaji inaruhusu wachina kuja kufanya?

Tunapo elekea tutaanza kuona wachina wanaenda mstuni kukata mkaa.

Je hii ndiyo kile tunachoambiwa nchi imefunguka? Kwa maoni yangu kama hii ndiyo dhana ya kufungua nchi ni bora ingeendelea kufungwa tu.

Asante mheshimiwa, hivi naweza kuja hapo kupata maji baridi na kupunga upepo hapo magogoni?
Wanafanya biashara kwa sababu wewe umezubaa!, huoni fursa, umebaki na lawama jadi ya mtanzania mpumbavu.
 
Hili swala limeshaongelewa na serikali kupewa tahadhari nadhani aliongelea member mmoja hivi kuhusu ujio wa hawa watu zaidi ya laki tatu 300K

Tafuta Uzi umeandikwa ujio wa wachina laki tatu

Serikali ilikuwa warned na kupewa tahadhari zote muhimu.
 
Hiyo sumatifoni ni mtaji tosha sana, aiuze apate 100000, inatosha sana, atafute kiswaswadu cha 10000!
Ukiwa umeajiriwa au ukipewa mtaji rahisi kurahisisha mambo.
Laki 1 iwe mtaji na iendeshe maisha yako mfano kula, kuvaa, matibabu, pango la nyumba siyo rahisi hivyo.
Wengi wenu mkipoteza kazi au kufilisika mnaujua ukweli mnalialia au mnakuwa omba omba.
 
Hili swala limeshaongelewa na serikali kupewa tahadhari nadhani aliongelea member mmoja hivi kuhusu ujio wa hawa watu zaidi ya laki tatu 300K

Tafuta Uzi umeandikwa ujio wa wachina laki tatu

Serikali ilikuwa warned na kupewa tahadhari zote muhimu.
Na bado ikashindwa kuwazuia, duu awamu hii kweli nchi imefunguliwa.
 
Back
Top Bottom